haya wangempeleka hospitali wangeambiwa PF 3 ya polisi..au hujui utaratibu wa nchi hii watu wanakosa huduma hospitali tena kwa majeraha madogo kisa PF3Wamesema katupwa akiwa katika hali mbaya, sasa kwa nini wasamalia wema walimpeleka kwanza makao makuu ya chama badala ya kumpeleka hospitali?
niliona taarifa ya kibwengo moja mitandaoni eti muungwana hajiwezi kwa chochote na anaongea kwa tabu sana...Hii scene ilipangwa tu
1. Kwanza unakamatwa kwa purukushani na inadondoka begi lenye vitambulisho wala si simu wala kingine! Ni ili watu watambue katekwa Nani
2. Millard Ayo anafanya coverage ya masaa 24 ku report kinachoendelea wakati siyo tabia yake
3. Inatoka report ya polis aina ya plate number wanazotaja ni tofauti na Plate number zinazotajwa na wananchi japo zote feki,
4. Gari lililomteka likaonekana limepaki sehemu kabisa baada ya tukio tofauti na matukio ya utekaji yaliyopita! Yaan wazi wazi ili sign ionekane liko polisi Gogoni
5. Anapatikana usiku anaomba boda boda imfikishe kwenye makao makuu ya chama kwanini hakuna hata shahidi Aloona anatupwa pale usiku?
6. Je kwanini viongozi wa chama wawe ofisi usiku kabisa wakisubiria atakapo rejeshwa akodi piki piki ndo wampokee? Au walioteshwa?
7. kabisa Taarifa za anayesema aliletwa na bajaji Lakin Polisi wanasema ni boda boda ilimpeleka makao ya chama !
Any away utekaji si mzuri tuzuie kwa namna yeyote ile
Polisi wameendelea kusisitiza kupitia kila taarifa waliyoitoa kwamba Amekamatwa kwa nguvu.
Kwa sisi wamachinga tunaoffanya shughuli zetu hapa Magufuli bust stand tunajua vizuri sana kwamba eneo hili lia ulinzi madhubuti. Hapa mtu hawezi akatekwa, kama ilivyofanyika halafu watekaji waka get awaywith it.
Polisi wapo sahihi, wanaposema alikamatwa kwa nguvu na watu wasiojulikana" inawezekana ilikuwa ni Taskforce Operation (With Police Stand-Down), hivyo Polisi walitaarifiwa lakini hawakutakiwa kuingilia.
Ndiyo maana kila walipotoa taarifa yao waliendelea kuuhabarisha umma kwamba "Amekamatwa kwa nguvu"
ingawa hawajui mkamataji ni nani. Kuna wakati Polisi hulazimika kupokea maagizo na kuyatekeleza pasipo kuhoji.
Kuna level Askari ni mpelelezi, anauliza maswali, anaumiza kichwa kufikiri ili kupata majibu, kuna levels askari akitaka kuchangia ku comment na kufanya reasoning na ku make sense huambiwa "a soldier is hired to act not to think"
Kwenye hoja ya kupangwa kwa hii scene. Hili ni mbaya sana, huku ni kujaribu kuizoesha jamii ikubalianena mambo ya hovyo. Kuna watu wametekwa na wameenda mazima, hadi leo hatujui walipo. Kuna waliotekwa wakapatikana wakiwa na hali mbaya, na kuna waliotekwa wakaja kupatikana wamepoteza maisha.
Sasa kinapojitokeza kikundi kutaka kuizoesha nchi ione matukio haya ni ya kawaida, hawa jakika siyo watu wanaostahili heshima, heri wala jema lolote
Kwa hiyo PF 3 inapatikana makao makuu ya Chama chake?Something is not adding up.haya wangempeleka hospitali wangeambiwa PF 3 ya polisi..au hujui utaratibu wa nchi hii watu wanakosa huduma hospitali tena kwa majeraha madogo kisa PF3
Labda tuulize niyapi mazingira ambayo japo yanahisiwa kuwa sababu inayoweza kuwa ilipelekea kutoweka kwake?Hii scene ilipangwa tu
1. Kwanza unakamatwa kwa purukushani na inadondoka begi lenye vitambulisho wala si simu wala kingine! Ni ili watu watambue katekwa Nani
2. Millard Ayo anafanya coverage ya masaa 24 ku report kinachoendelea wakati siyo tabia yake
3. Inatoka report ya polis aina ya plate number wanazotaja ni tofauti na Plate number zinazotajwa na wananchi japo zote feki,
4. Gari lililomteka likaonekana limepaki sehemu kabisa baada ya tukio tofauti na matukio ya utekaji yaliyopita! Yaan wazi wazi ili sign ionekane liko polisi Gogoni
5. Anapatikana usiku anaomba boda boda imfikishe kwenye makao makuu ya chama kwanini hakuna hata shahidi Aloona anatupwa pale usiku?
6. Je kwanini viongozi wa chama wawe ofisi usiku kabisa wakisubiria atakapo rejeshwa akodi piki piki ndo wampokee? Au walioteshwa?
7. kabisa Taarifa za anayesema aliletwa na bajaji Lakin Polisi wanasema ni boda boda ilimpeleka makao ya chama !
Any away utekaji si mzuri tuzuie kwa namna yeyote ile
Polisi wameendelea kusisitiza kupitia kila taarifa waliyoitoa kwamba Amekamatwa kwa nguvu.
Kwa sisi wamachinga tunaoffanya shughuli zetu hapa Magufuli bust stand tunajua vizuri sana kwamba eneo hili lia ulinzi madhubuti. Hapa mtu hawezi akatekwa, kama ilivyofanyika halafu watekaji waka get awaywith it.
Polisi wapo sahihi, wanaposema alikamatwa kwa nguvu na watu wasiojulikana" inawezekana ilikuwa ni Taskforce Operation (With Police Stand-Down), hivyo Polisi walitaarifiwa lakini hawakutakiwa kuingilia.
Ndiyo maana kila walipotoa taarifa yao waliendelea kuuhabarisha umma kwamba "Amekamatwa kwa nguvu"
ingawa hawajui mkamataji ni nani. Kuna wakati Polisi hulazimika kupokea maagizo na kuyatekeleza pasipo kuhoji.
Kuna level Askari ni mpelelezi, anauliza maswali, anaumiza kichwa kufikiri ili kupata majibu, kuna levels askari akitaka kuchangia ku comment na kufanya reasoning na ku make sense huambiwa "a soldier is hired to act not to think"
Kwenye hoja ya kupangwa kwa hii scene. Hili ni mbaya sana, huku ni kujaribu kuizoesha jamii ikubalianena mambo ya hovyo. Kuna watu wametekwa na wameenda mazima, hadi leo hatujui walipo. Kuna waliotekwa wakapatikana wakiwa na hali mbaya, na kuna waliotekwa wakaja kupatikana wamepoteza maisha.
Sasa kinapojitokeza kikundi kutaka kuizoesha nchi ione matukio haya ni ya kawaida, hawa jakika siyo watu wanaostahili heshima, heri wala jema lolote
Nenda pale Agha Khan kampige picha halafu njoo u-upload hapa. Kabla huja weka hapa tuage kabisa.Pia katika yote hadi huko Aga Khan hakuna cha picha wala video. Hii inaacha maswali. Kwamba kuna aliyewazuia wasipige picha?
Ile ya sendeka ndo ilikuwa bongo movie kbsHata Ole Sendeka alishambuliwa kwa risasi na wasiojulika na hakuna uchunguzi wala kesi....balace,hahaha
Hospitali awilipewa kibali cha huduma bila hiyo kitu?Kwa hiyo PF 3 inapatikana makao makuu ya Chama chake?Something is not adding up.
Sendeka Msanii Afrika yuleHata Ole Sendeka alishambuliwa kwa risasi na wasiojulika na hakuna uchunguzi wala kesi....balace,hahaha
Nenda kapige wew picha hospital.Pia katika yote hadi huko Aga Khan hakuna cha picha wala video. Hii inaacha maswali. Kwamba kuna aliyewazuia wasipige picha?
Ni sanaa ambazo zinawaumiza wanaotekwa lakini hazina uwezo wa kumuondoa Rais Samia katika kile kiti alichokalia muda huu.Kuna kikundi behind the scene chenye uchu wa madaraka ndicho kinachoratibu mipango yote hii.. Kiliwahi kuisumbua sn hata awamu ya tano sasa kinadili na Kizimkazi Empire mpaka aachie ngazi .. lengo kupigania madaraka ili kumege keki ya taifa.
Kama lile la Mama wa BAWACHA umesikia kelele tena?.Mmoja wa viongozi Maharage akihojiwa amedai kwamba Nondo alizungushwa siku nzima ndani ya Land Cruiser bila ya kuteremshwa.Umechambua vizuri .Maana mimi naona NONDO na Act wazalendo wake wametengeneza igizo lisilo ingia akilini kabisa .Uchambuzi wako ungefaa kila mtu asome ili kupanua wigo wa mjadala huu wenye lengo la kutaka kuichafua serikali
Wamemwachia baada wazee wa kigoma kusema waliomteka mtoto wetu mmemteka ila kitakacho wakuta tusilaumiane .na unajua kigoma wanapenda mambo ya ndumba uchawi mwingiHii scene ilipangwa tu
1. Kwanza unakamatwa kwa purukushani na inadondoka begi lenye vitambulisho wala si simu wala kingine! Ni ili watu watambue katekwa Nani
2. Millard Ayo anafanya coverage ya masaa 24 ku report kinachoendelea wakati siyo tabia yake
3. Inatoka report ya polis aina ya plate number wanazotaja ni tofauti na Plate number zinazotajwa na wananchi japo zote feki,
4. Gari lililomteka likaonekana limepaki sehemu kabisa baada ya tukio tofauti na matukio ya utekaji yaliyopita! Yaan wazi wazi ili sign ionekane liko polisi Gogoni
5. Anapatikana usiku anaomba boda boda imfikishe kwenye makao makuu ya chama kwanini hakuna hata shahidi Aloona anatupwa pale usiku?
6. Je kwanini viongozi wa chama wawe ofisi usiku kabisa wakisubiria atakapo rejeshwa akodi piki piki ndo wampokee? Au walioteshwa?
7. kabisa Taarifa za anayesema aliletwa na bajaji Lakin Polisi wanasema ni boda boda ilimpeleka makao ya chama !
Any away utekaji si mzuri tuzuie kwa namna yeyote ile
Polisi wameendelea kusisitiza kupitia kila taarifa waliyoitoa kwamba Amekamatwa kwa nguvu.
Kwa sisi wamachinga tunaoffanya shughuli zetu hapa Magufuli bust stand tunajua vizuri sana kwamba eneo hili lia ulinzi madhubuti. Hapa mtu hawezi akatekwa, kama ilivyofanyika halafu watekaji waka get awaywith it.
Polisi wapo sahihi, wanaposema alikamatwa kwa nguvu na watu wasiojulikana" inawezekana ilikuwa ni Taskforce Operation (With Police Stand-Down), hivyo Polisi walitaarifiwa lakini hawakutakiwa kuingilia.
Ndiyo maana kila walipotoa taarifa yao waliendelea kuuhabarisha umma kwamba "Amekamatwa kwa nguvu"
ingawa hawajui mkamataji ni nani. Kuna wakati Polisi hulazimika kupokea maagizo na kuyatekeleza pasipo kuhoji.
Kuna level Askari ni mpelelezi, anauliza maswali, anaumiza kichwa kufikiri ili kupata majibu, kuna levels askari akitaka kuchangia ku comment na kufanya reasoning na ku make sense huambiwa "a soldier is hired to act not to think"
Kwenye hoja ya kupangwa kwa hii scene. Hili ni mbaya sana, huku ni kujaribu kuizoesha jamii ikubalianena mambo ya hovyo. Kuna watu wametekwa na wameenda mazima, hadi leo hatujui walipo. Kuna waliotekwa wakapatikana wakiwa na hali mbaya, na kuna waliotekwa wakaja kupatikana wamepoteza maisha.
Sasa kinapojitokeza kikundi kutaka kuizoesha nchi ione matukio haya ni ya kawaida, hawa jakika siyo watu wanaostahili heshima, heri wala jema lolote