Udaga: Chakula kinachopendwa na jamii ya Wasukuma Tanzania

Udaga: Chakula kinachopendwa na jamii ya Wasukuma Tanzania

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Ugali wa udaga ni moja kati ya vyakula vinavyopewa heshima ya namna yake kwenye jamii ya Wasukuma nchini Tanzania ukitaka kuamini hayo muulize hata SHIMBA YA BUYENZE au ngosha wa mwanza

Udaga ni mchanganyiko wa unga wa mahindi na muhogo ambao huwa na ladha ya aina yake ukiliwa na mboga za asili kama vile kibambala na mlenda au ukiambatana na maziwa mgando (malibhoto) kwa lugha ya kisukuma.

Bujibuji Siku ukitembea tena usukumani omba ugali wa udaga wao waswahili huuta ugali wa muhogo.
 
Mi najuaga watu wa musoma ndio wanatumia Sana udaga, kumbe na wasukuma.
 
Kaunda ya ziwa ukitoa wahaya...makabila yaliyobaki yanapendelea udaga
 
Back
Top Bottom