Udahili wa kozi ya magereza kuna kipengele cha udhalilishaji

Udahili wa kozi ya magereza kuna kipengele cha udhalilishaji

UKI

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
691
Reaction score
173
Aisee nilikuwa sijui binam yangu alifanya udahili wa kozi ya kwenda kusomea askari magereza alishapita hatua za mwanzo kabisa ni kuingia na kuanza kusoma ila katika kupimwa afya na mambo mengine kuna lingine limenisikitisha swala la kupimwa kama wewe ni mzima au umeshachakachuliwa sehemu zako za nyuma kama ni mtoto wa kiume aisee hili linahusiana vipi na kufanya kazi za uaskari magereza?? Nahisi ni aibu kubwa sana
 
Kipimo hicho ni muhimu kwani atutaki Mashoga kwenye jeshi,Ebu fikiri one day umekuwa mkuu wa gereza alafu una basha mfungwa itakuwaje?
Mbona hilo lipo karibuni majeshi yote duniani. Pole. Vipi lakini umepass hicho kipengere au?
 
Wanaogopa isijetokea mtu akaitwa "aunt mzafaru" badala ya "afande mzafaru" afu imagine lile gwaride la miaka hamsini na shenzi pale uwanja wa taifa, afande anapita mbele ya raisi anakatikakatika! !
 
Aisee nilikuwa sijui binam yangu alifanya udahili wa kozi ya kwenda kusomea askari magereza alishapita hatua za mwanzo kabisa ni kuingia na kuanza kusoma ila katika kupimwa afya na mambo mengine kuna lingine limenisikitisha swala la kupimwa kama wewe ni mzima au umeshachakachuliwa sehemu zako za nyuma kama ni mtoto wa kiume aisee hili linahusiana vipi na kufanya kazi za uaskari magereza?? Nahisi ni aibu kubwa sana

Kipengele hicho kipo na wala hakidhalilishi kwa sababu moja jeshini hawatakiwi wasengeee. Kwa mujibu wa vyanzo vyangu kipimo hicho hufanywa kwa kuambiwa ukohoe kisha ukikoa kama upo vizuri dhakari ni lazima ishituke kidogo.

Hili ni kwa majeshi yote yaani kuanzia TPDF, POLICE NA TPS. TPDF ndiyo balaa kabisa wao wanakwenda mbali zaidi.
 
Wanaogopa isijetokea mtu akaitwa "aunt mzafaru" badala ya "afande mzafaru" afu imagine lile gwaride la miaka hamsini na shenzi pale uwanja wa taifa, afande anapita mbele ya raisi anakatikakatika! !

Inatia kinyaa anapita mjeda na tena siku hizi wapo mitaani tunaishi nao kisha jamaa wanakuambia aiseeee jamaa chakula ya watu!!!!!

Inajenga picha mbaya sana na jeshi lolote kashfa kama hiyo ikifika na kuthibitishwa kama ni kweli adhabu yake ni kufukuzwa kazi kwa fedheha kwa kulidhalilisha jeshi.
 
hilo jeshi limejaa udhalilishaji, wawaachie madaktari wa Magereza au Jeshi
 
Wanaogopa isijetokea mtu akaitwa "aunt mzafaru" badala ya "afande mzafaru" afu imagine lile gwaride la miaka hamsini na shenzi pale uwanja wa taifa, afande anapita mbele ya raisi anakatikakatika! !

Dah! hapo kwenye blue nimecheka sana
 
Hicho kipimo ni cha kawaida sana, wakikuta huna "nywele"huko nyuma uko hatarini
 
Ni kawaida, kama alikuwa anabandulia imekula kwake.....tena kuna kipindi madaktari wa jeshi, wakina mama ndio huhusika kufanya hiyo kitu, unavua, unageuka halafu unaambiwa kohoa. Usipocheza tu, tayari umesha gawa uroda kwa mwanaume mwenzio.
 
hicho mbona kipimo hakina udhalilishaji wowote,pole kama unaliwaaaa?
 
Kipimo hicho ni muhimu kwani atutaki Mashoga kwenye jeshi,Ebu fikiri one day umekuwa mkuu wa gereza alafu una basha mfungwa itakuwaje?
Mbona hilo lipo karibuni majeshi yote duniani. Pole. Vipi lakini umepass hicho kipengere au?

mkuu alipass sio mimi ni binam yangu.
 
Hicho kipimo ni cha kawaida sana, wakikuta huna "nywele"huko nyuma uko hatarini

mkuu sidhani kama uko sahihi ina maana wanaozinyoa ni *******? nahisi kwa yule aliyesema wanakupima kwa kukohoa nahisi ndio sahihi kipimo tosha swala la nywele nahisi wengi huwa tunanyoa kila wiki tuna vipara kabisa maana ni moja ya uchafu ukikaa nayo muda mrefu.
 
Inatia kinyaa anapita mjeda na tena siku hizi wapo mitaani tunaishi nao kisha jamaa wanakuambia aiseeee jamaa chakula ya watu!!!!!

Inajenga picha mbaya sana na jeshi lolote kashfa kama hiyo ikifika na kuthibitishwa kama ni kweli adhabu yake ni kufukuzwa kazi kwa fedheha kwa kulidhalilisha jeshi.

ina maana mkuu hawa walitoa rushwa au imetokeaje wakapita kwenye jeshi na huku kipimo hicho huwa kinatumika inakuwaje hapa? maana kama kipimo ni sahihi ina maana hatutarajii mjenda aliyechakachuliwa
 
mkuu sidhani kama uko sahihi ina maana wanaozinyoa ni *******? nahisi kwa yule aliyesema wanakupima kwa kukohoa nahisi ndio sahihi kipimo tosha swala la nywele nahisi wengi huwa tunanyoa kila wiki tuna vipara kabisa maana ni moja ya uchafu ukikaa nayo muda mrefu.

mkuu niko sahihi, hebu fikiria "rungu"linapita mara kwa mara kutakuwa na nywele kweli?
 
mkuu niko sahihi, hebu fikiria "rungu"linapita mara kwa mara kutakuwa na nywele kweli?

duh mkuu umeenda mbali aisee mi sijui zaidi doctor labda anaweza kutuhabarisha kama uume wa mtu unaweza kunyofoa nywele sehemu za siri.
 
UKI, unafahamu kama hata wanafunzi wa Upadri hufanyiwa uchunguzi wa vitu vinavyofanana na hivyo? Kuna jamaa yangu akijiandaa kwenda shule ya juu ya masomo ya upadri, alikutana na kipimo cha kujua kama 'kitu chake' ni 'hai'. Kwa kuwa mambo ya usenge yamekuwa mengi siku hiz, huenda kipimo kama cha magereza kikawafaa hawa jamaa pia..
 
Back
Top Bottom