Mkuu usivunjike moyo kwamba siju kitu gani,ukweli upo hivi,udaktari ni commitment na wala sio kuwa na akili sana wala nini hata mtu mwenye ziro anaweza kuwa daktari mzuri kuliko wewe mwenye one ya saba,.............kiukweli nondo za udaktari ni nzito balaa,lakini uhitaji kuwa geneous kuzimaster,kuna watu kibao wana akili balaa kwenye medical school,lakini:
-wavivu
-hawana moyo wa kutibu
-hawana huruma
-wanaogopa vitu kama damu,vinyesi
etc
kwa sababu hizo hapo juu utakuta mtu amefaulu vizuri darasani lakini ni daktari mbovu,ukienda hospitali nyingi za wilaya utakuta wanaofaya operesheni ni wafagizi wa theatre,so kigezo cha mtu sijui kupiga one mi kwangu ni last option,knowledge ya kawaida tu ya kuelewa unachofundishwa inaweza kukufanya kuwa daktari.
Na ndio maana kwa nchi kama marekani ili uweze kusoma udaktrari huwa wanahitaji COMMITMENT & ANY UNDERGRADUATE DEGREE tu kama factor kubwa.
so kama una-COMMITMENT utakuwa daktari wa level unayoitaka.