Hee? Kidding eeh
Hee? Kidding eeh
kivuli cha udaku kitaficha mengi..
Hahahhaaaaaa... kibuti kinafanyaje eti?.... hahahahaaaaaa...
Kaka unanionea aisee. ... Sijawahi kupigwa cha mbavu, hakuna mwenye ubavu huo. I know the trick.
Kupigwa cha mbavu kunahitaji juhudi ati... ukipigwa tu kirahisi rahisi ujue bado wewe nyani kijana hujakwepa mishale ya kutosha.
6. Mtambuzi sasa azidi kuzeeka. Hayo yalithibitika hivi majuzi baada ya kulala chumba kimoja na mrembo (air hostess wa kampuni kubwa ya ndege) wa Kikenya bila kufanikiwa kumgusa hata upindo wa vazi lake.
We si unaendaga kulilia bafuni kikishalia huku
Mwanaume kukubali kibuti ni noma na yahitaji ujasiri haswa aise
Ndo maana wewe Tized huwa unaenda kulilia bafuni machozi yasiojnekane na walimwengu wakasema neno