Uliona wapi Mtu anang'olewa kucha hadharani?
Sheemeeejiiiiiiiiiii
Shemeji yako nani?
Nlikuwa nakumbushia lile ombi langu
hilo ombi lako lipitie kwanza kwa my husband First Born ili alihakiki
Majanga hayo sasa...bora unikatalie tu
Majanga hayo sasa...bora unikatalie tu
Aaaagh dada.utataka mtu ajinyonge na bubble gum hapa.nampa moyo tu maana kalalamika sanaaaaa.sio shemej yangu huyo.shem yuko on thread
Stay away from my daughter....nina mkwe wangu First Born ananijali sana
jibu zuri Sana Hilo shem wangu, ili hicho kibabu cha mchepuko kisije jifia bure nikaambiwa nimeharakisha safari yake, wacha nisubiri maana kibabu kimebakiza siku chache Tu, imagine kababu kana 87 yrs lakini bado kana ngangania watoto wabichi kama my soap Khantwe
kasoro namba tano mmefungwa kamba bila chenga mi na excel tuko rocky city
Stay away from my daughter....nina mkwe wangu First Born ananijali sana
Aaaagh dada.utataka mtu ajinyonge na bubble gum hapa.nampa moyo tu maana kalalamika sanaaaaa.sio shemej yangu huyo.shem yuko on thread
ah.... unaogopo kusema uko tarime....?
Umeijua shida yangu lkn?
ha ha ha lakini bado nitashikilia msimamo wangu mpaka kieleweke