Udakuzi show ya Mambo swahili tv mnaboa

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,403
Reaction score
4,373
Kuna mtangazaji wa kipindi hicho kila anapoita celebrity kuja kufanya naye mahojiano akiona kapendeza au kaja na kitu kizuri sana ana msemo mmoja kama wa kuidharau nchi yetu kwa kusema mfano, "Naona umevaa vizuri we sio wa nchi hii" Au "Duh, sauti yako sio nchi hii" hata kama ni swaga hebu weka swaga za kusifia nchi yako, tv program zinaangaliwa ulimwengu mzima, kifupi ni hayo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…