Udalali nayo ni ofisi pia

Udalali nayo ni ofisi pia

Dalali wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
326
Reaction score
464
Habari ndugu zangu.

Ni siku nyingine tena kwenye chini ya JUA.
Baada ya kuzurula sana kutafuta gari ya Uber na bolt bila mafanikio huku nikiwa napiga Domo (Dalali)

Kuna jamaa humu alinichek nikakutana nae tukapanga fresh Gari iwekwe gesi maana Gari yake ilikuwa CC 1700.Brother hujanipigia tena na mbaya Zaidi namba yako haitoki inaishia na 92.Nimeona niifute tu namba yako kaka.Sababu wewe mwenyewe hukunitafuta kwahiyo huwenda ulipiga hesabu zako zikawa haziendi.

Sasa wakuu Mimi ni Dalali rasmi.
Nipe Kazi ya kukuuzia na kama unahitaji kununua.
NYUMBA
GARI
KIWANJA
KITUO CHA MAFUTA.

Vile vile naweza kusimamia mradi wako kwa makubalino mazuri.(Heshima na Uaminifu ni kipaumbele)

Una shamba unataka kulima naweza kukutafutia watu wa kukulimia bila tatizo na utafanya nao makubalino ya pesa wewe mwenyewe.

Mafundi ujenzi naweza kukutafutia ambao ni professional yao kabisa.

Nipigie simu/WhatsApp +255754693556.
 
Habari ndugu zangu.

Ni siku nyingine tena kwenye chini ya JUA.
Baada ya kuzurula sana kutafuta gari ya Uber na bolt bila mafanikio huku nikiwa napiga Domo (Dalali)

Kuna jamaa humu alinichek nikakutana nae tukapanga fresh Gari iwekwe gesi maana Gari yake ilikuwa CC 1700.Brother hujanipigia tena na mbaya Zaidi namba yako haitoki inaishia na 92.Nimeona niifute tu namba yako kaka.Sababu wewe mwenyewe hukunitafuta kwahiyo huwenda ulipiga hesabu zako zikawa haziendi.

Sasa wakuu Mimi ni Dalali rasmi.
Nipe Kazi ya kukuuzia na kama unahitaji kununua.
NYUMBA
GARI
KIWANJA
KITUO CHA MAFUTA.

Vile vile naweza kusimamia mradi wako kwa makubalino mazuri.(Heshima na Uaminifu ni kipaumbele)

Una shamba unataka kulima naweza kukutafutia watu wa kukulimia bila tatizo na utafanya nao makubalino ya pesa wewe mwenyewe.

Mafundi ujenzi naweza kukutafutia ambao ni professional yao kabisa.

Nipigie simu/WhatsApp +255754693556.
Aliyemuelewa naomba anieleweshe
 
Habari ndugu zangu.

Ni siku nyingine tena kwenye chini ya JUA.
Baada ya kuzurula sana kutafuta gari ya Uber na bolt bila mafanikio huku nikiwa napiga Domo (Dalali)

Kuna jamaa humu alinichek nikakutana nae tukapanga fresh Gari iwekwe gesi maana Gari yake ilikuwa CC 1700.Brother hujanipigia tena na mbaya Zaidi namba yako haitoki inaishia na 92.Nimeona niifute tu namba yako kaka.Sababu wewe mwenyewe hukunitafuta kwahiyo huwenda ulipiga hesabu zako zikawa haziendi.

Sasa wakuu Mimi ni Dalali rasmi.
Nipe Kazi ya kukuuzia na kama unahitaji kununua.
NYUMBA
GARI
KIWANJA
KITUO CHA MAFUTA.

Vile vile naweza kusimamia mradi wako kwa makubalino mazuri.(Heshima na Uaminifu ni kipaumbele)

Una shamba unataka kulima naweza kukutafutia watu wa kukulimia bila tatizo na utafanya nao makubalino ya pesa wewe mwenyewe.

Mafundi ujenzi naweza kukutafutia ambao ni professional yao kabisa.

Nipigie simu/WhatsApp +255754693556.
Ufungue ofisi na ulipe Kodi,utapata tender kwa uhakika,sio udalali wa konakona!Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom