Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😄😆😅🤣😂😃😀Haa Kesi ImeishaToa namba yake tumuulize
Una-uhakika ni wanachuo mkuu?Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Una mkaushia tu kama haukuchukua namba vile, mkikutana tena unamchangamkia vizuri zaidi, kesho kutwa unaacha shobo naye....asipojileta aachane naye afanye mambo mengine [emoji23][emoji23]Hebu wape mtiririko wa vile mambo yanatakiwa kwenda
Enhe,ukichukua namba kesho yake mchana afanyaje?
Usije ukawa umekutana na mwanafunzi wa mchongo, kwanza hakuna hiyo kozi hapo Ardhi University 😁BSc. Architecture.
Usije ukawa umekutana na mwanafunzi wa mchongo, kwanza hakuna hiyo kozi hapo Ardhi University [emoji16]
wale wa ustawi ambao ukiwauliza walikuwa wanasema wanasoma course ya GPA bado wapo?Wakati wa introduction alisema yeye anasoma Ardhi University, BSc. Architecture.
HaipoCheck DM
Unaibiwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Toa namba yake tumuulize