Udanganyifu wa mapenzi ndani na nje ya ndoa

Udanganyifu wa mapenzi ndani na nje ya ndoa

Lakini mimi ninavyoona haya yote yanasababishwa na hao kina baba...hawawatoshelezi wake zao ndani, kutwa kujaza guest...matokeo yake ndo haya sasa...

Sasa hao wake wanatoshelezwa na nani? Kama na wao wanatoka nje ya ndoa huoni kuwa nao ni wa kulaumiwa kama wanavyolaumiwa wanaume?
 
tatizo sio la muda mfupi na uhakika itafikia kipindi cha m2 kuoana na dadake au mtoto kumpitia mama yake wa kambo.
ni balaa
 
Back
Top Bottom