Hello wana Jamvi, naomba mwenye UELEWA wa namna MTU anaweza kupata KAZI ya udereva wa gari za IT; Dar-malawi au DAR-ZAMBIA/TNDM/CONGO; GARI ndogo na za wastani; nina leseni valid; nina muda wa kufanya hizo kazi; naishi mbeya mjini;nina uzoefu wa driving long safaris kwa mda wa miaka 7; gari za manual na automatic; mwelevu; lugha mbilio kwa ufasaha English na Kiswahili; mwaminifu na niko focused kwenye malengo ya tajiri (kujitahidi gari za mwenye mali zinafika salama). Tafadhari kwa mwenye idea nifanyeje.
NAOMBA pm please.