Udereva wa gari za IT

Udereva wa gari za IT

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
801
Hello wana Jamvi, naomba mwenye UELEWA wa namna MTU anaweza kupata KAZI ya udereva wa gari za IT; Dar-malawi au DAR-ZAMBIA/TNDM/CONGO; GARI ndogo na za wastani; nina leseni valid; nina muda wa kufanya hizo kazi; naishi mbeya mjini;nina uzoefu wa driving long safaris kwa mda wa miaka 7; gari za manual na automatic; mwelevu; lugha mbilio kwa ufasaha English na Kiswahili; mwaminifu na niko focused kwenye malengo ya tajiri (kujitahidi gari za mwenye mali zinafika salama). Tafadhari kwa mwenye idea nifanyeje.
NAOMBA pm please.
 
Hello wana Jamvi, naomba mwenye UELEWA wa namna MTU anaweza kupata KAZI ya udereva wa gari za IT; Dar-malawi au DAR-ZAMBIA/TNDM/CONGO; GARI ndogo na za wastani; nina leseni valid; nina muda wa kufanya hizo kazi; naishi mbeya mjini;nina uzoefu wa driving long safaris kwa mda wa miaka 7; gari za manual na automatic; mwelevu; lugha mbilio kwa ufasaha English na Kiswahili; mwaminifu na niko focused kwenye malengo ya tajiri (kujitahidi gari za mwenye mali zinafika salama). Tafadhari kwa mwenye idea nifanyeje.
NAOMBA pm please.
tafuta kampuni ya 'clearing & forwarding'.
Jamaap
Teddy Junior Limited
TRA-List of C&F Agents
 
Back
Top Bottom