Udhahifu wa KDF: Alshabaab wateka gari la wagonjwa Kenya

Udhahifu wa KDF: Alshabaab wateka gari la wagonjwa Kenya

Kagame hana tofauti na gaidi marekani ukigusa maslahi yake lazima alete kikosi chake cha kuja kuondoa amani.
 
Vipi wamemaliza mkaa na sukari ya Somalia?
Yaani wanajiongeza sasa kwenda kutafuta madini DRC
Hebu jamani muwe na ubinadamu mbona Ethiopia na Tigray wamepatanishwa?
Nyie mnaenda pigana why
Hizo sio njia za kuongeza uchumi jiraniiiii
 
Udhaifu hapo ni gani??
Huoni kwamba kitendo cha Alshabaab kuingia na kufanya vitendo vya kuteka watu Kenya ni ishara ya udhahifu wa KDF kushindwa kulinda mipaka ya Kenya?. Sasa imefikia wanateka Hadi ambulances
 
Huoni kwamba kitendo cha Alshabaab kuingia na kufanya vitendo vya kuteka watu Kenya ni ishara ya udhahifu wa KDF kushindwa kulinda mipaka ya Kenya?. Sasa imefikia wanateka Hadi ambulances
kwani hao Alshaabab wanatokea inje ya Kenya pekee???
 
kwani hao Alshaabab wanatokea inje ya Kenya pekee???
Sasa hili ni swali gani?, Wacha kupoteza muda bila sababu, hao Alshabaab wanaoingia na silaha huko Mandera na kufanya fujo na kutorokea Somalia, 95% wanatokea Somalia
 
Sasa hili ni swali gani?, Wacha kupoteza muda bila sababu, hao Alshabaab wanaoingia na silaha huko Mandera na kufanya fujo na kutorokea Somalia, 95% wanatokea Somalia
mpakani huezi jua wasomali wa Kenya na wasomali wa somalia sababu wote hawana IDs👌
Na pia ni watu wapastoralism kuhamahama na mifugo,Mara wanaenda somalia,Mara Kenya,Mara Sudan,Mara Ethiopia👌na huwezi kuwakataza wasikulaumishe kifo Cha mifugo yao👌
Na hapo hutajua miaalshaabab Kama imejifichia wapi??kumbuka tunashare border kubwa nao👌na tuna population kubwa ya wasomali Wakenya👌
Alshaabab wako anywhere,so hauwezi jua wapi watashambulia👌so wacha kusema KDF ni dhaifu haujui ndio tuwe na amani wanapitianga mangapi WWE👌
KDF🇰🇪💪
 
mpakani huezi jua wasomali wa Kenya na wasomali wa somalia sababu wote hawana IDs[emoji108]
Na pia ni watu wapastoralism kuhamahama na mifugo,Mara wanaenda somalia,Mara Kenya,Mara Sudan,Mara Ethiopia[emoji108]na huwezi kuwakataza wasikulaumishe kifo Cha mifugo yao[emoji108]
Na hapo hutajua miaalshaabab Kama imejifichia wapi??kumbuka tunashare border kubwa nao[emoji108]na tuna population kubwa ya wasomali Wakenya[emoji108]
Alshaabab wako anywhere,so hauwezi jua wapi watashambulia[emoji108]so wacha kusema KDF ni dhaifu haujui ndio tuwe na amani wanapitianga mangapi WWE[emoji108]
KDF[emoji1139][emoji123]
Kwahiyo hiyo hao wanaokuja na silaha na nguo za kijeshi na kuvamia vijiji na hata vituo vya polisi na kurudi Somalia, ni jukumu la nani kuweza kuwazuia?.

Tatizo lenu ninyi wakenya ni kutokubali madhahifu yenu. Vyombo vyenu vya ulinzi na usalama vina jukumu la kulinda usalama wa raia na Mali zao, There is no excuse for that.

Hivi Kama na sisi tungetoa hizo sababu kwamba wale magaidi Kule kaskazini mwa Msumbiji sio rahisi kuwatofautisha kati ya wamakonde wa Msumbiji na wamakonde wa Tanzania, Hadi Leo wangekuwa wanaendelea kuvamia Tanzania na kukimbilia Msumbiji

Ni jukumu la KDF kujipanga na kuhakikisha kwamba hakuna adui wa ndani au nje ambaye anaweza kufanya uhalifu kwa kuvuka mipaka ya nchi, haya maneno ya kusema kwamba huwezi jua kwamba ni wasomali wa Kenya au Somalia, huo ndio udhahifu wa KDF.

Kwa ukweli KDF ni dhahifu Sana, Kama hata wao wenyewe ndani ya Somalia Kambi zao mara kwa mara zilikuwa zikishambuliwa na Alshabaab, ni ishara tosha kwamba"KDF has very poor military intelligence"
 
mpakani huezi jua wasomali wa Kenya na wasomali wa somalia sababu wote hawana IDs[emoji108]
Na pia ni watu wapastoralism kuhamahama na mifugo,Mara wanaenda somalia,Mara Kenya,Mara Sudan,Mara Ethiopia[emoji108]na huwezi kuwakataza wasikulaumishe kifo Cha mifugo yao[emoji108]
Na hapo hutajua miaalshaabab Kama imejifichia wapi??kumbuka tunashare border kubwa nao[emoji108]na tuna population kubwa ya wasomali Wakenya[emoji108]
Alshaabab wako anywhere,so hauwezi jua wapi watashambulia[emoji108]so wacha kusema KDF ni dhaifu haujui ndio tuwe na amani wanapitianga mangapi WWE[emoji108]
KDF[emoji1139][emoji123]
We jamaa ficha ujinga wako
Unasema wakenya wenye asili ya Somalia hawana Id's?
Wanaishije hapo bila vibali je wanahesabiwa namna gani?

Kweli unaandika upuuzi huu wote
Nendeni mkapambane nao acheni kuwaonea waliomo ndani ya nchi
 
Binafsi katika majeshi ambayo huwa sielewi ni ya Kenya na Nigeria

Kila operation za kimataifa wao huenda lakini nchini kwao majeshi yao wanashindwa kudhibiti Alshsbab kwa Kenya na Boko Haram kwa Nigeria

Charity begins at home

Wange concentrate ndani zaidi kabla kupenda kwenda mission za kijeshi za kimataifa
 
Kwahiyo hiyo hao wanaokuja na silaha na nguo za kijeshi na kuvamia vijiji na hata vituo vya polisi na kurudi Somalia, ni jukumu la nani kuweza kuwazuia?.

Tatizo lenu ninyi wakenya ni kutokubali madhahifu yenu. Vyombo vyenu vya ulinzi na usalama vina jukumu la kulinda usalama wa raia na Mali zao, There is no excuse for that.

Hivi Kama na sisi tungetoa hizo sababu kwamba wale magaidi Kule kaskazini mwa Msumbiji sio rahisi kuwatofautisha kati ya wamakonde wa Msumbiji na wamakonde wa Tanzania, Hadi Leo wangekuwa wanaendelea kuvamia Tanzania na kukimbilia Msumbiji

Ni jukumu la KDF kujipanga na kuhakikisha kwamba hakuna adui wa ndani au nje ambaye anaweza kufanya uhalifu kwa kuvuka mipaka ya nchi, haya maneno ya kusema kwamba huwezi jua kwamba ni wasomali wa Kenya au Somalia, huo ndio udhahifu wa KDF.

Kwa ukweli KDF ni dhahifu Sana, Kama hata wao wenyewe ndani ya Somalia Kambi zao mara kwa mara zilikuwa zikishambuliwa na Alshabaab, ni ishara tosha kwamba"KDF has very poor military intelligence"
Nikuulize swali wwe!😂
Ile siku magaidi waliingia Tanzania kusini,kutoka Mozambique na wakachoma vijiji???
Hio pia unataka kumaanisha eti Jeshi la Tanzania🇹🇿 ni dhaifu???
Kwangu mie naona walifanya timing👌
alaf ujue Border ya Kenya na Somalia ni refu wanaweza ingilia mahali popote👌ebu jiulize hivi ingekuwa Kenya ni Nchi ya Alshaabab??mngetuzuia aje kuingia TZ???we share a big border!
 
We jamaa ficha ujinga wako
Unasema wakenya wenye asili ya Somalia hawana Id's?
Wanaishije hapo bila vibali je wanahesabiwa namna gani?

Kweli unaandika upuuzi huu wote
Nendeni mkapambane nao acheni kuwaonea waliomo ndani ya nchi
nakuambia ukweli hawakuaga na IDs za Kenya👌Ila siku hizi wameajaribu wengine wao wako nazo,
 
Back
Top Bottom