Udhahifu wa KDF: Alshabaab wateka gari la wagonjwa Kenya

Udhahifu wa KDF: Alshabaab wateka gari la wagonjwa Kenya

Nikuulize swali wwe![emoji23]
Ile siku magaidi waliingia Tanzania kusini,kutoka Mozambique na wakachoma vijiji???
Hio pia unataka kumaanisha eti Jeshi la Tanzania[emoji1241] ni dhaifu???
Kwangu mie naona walifanya timing[emoji108]
alaf ujue Border ya Kenya na Somalia ni refu wanaweza ingilia mahali popote[emoji108]ebu jiulize hivi ingekuwa Kenya ni Nchi ya Alshaabab??mngetuzuia aje kuingia TZ???we share a big border!
Kwa mfano wewe umeajiri walinzi kulinda nyumba yako, siku Moja majambazi wakawastukiza walinzi wako na kufanikiwa kuingia ndani kuiba na wakaua mtoto wako, baada ya mwaka mmoja wakarudi tena na kufanikiwa kuvunja na kuiba na kuua tena mtu, walinzi wako wakakupa sababu kwamba wanashindwa kutofautisha kati ya jambazi na raia wema.

Mara ya tatu wakarudi tena na kufanikiwa kuvunja nyumba na kuiba, majibu ya walinzi wako ni yaleyale kwamba wanashindwa kutofautisha kati ya majambazi na raia wema,[emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania walivamia mara Moja, tukajiuliza wapi tulikosea na tukaweka mikakati ya kuwadhibiti, hawajarudi tena.

Osama alifanikiwa kuwapiga wamarekani mara Moja, wakajiuliza wapi walikosea, wakaweka mikakati na hilo tukio halijatokea tena.

Udhahifu wa KDF ni kwamba, hawajiulizi na kuja na mikakati ya kuwadhibiti Alshabaab wasiweze kuvuka mipaka kuingia Kenya, wacha sababu za kipuuzi kwamba mpaka wa Somalia na Kenya ni mkubwa.

Jukumu la jeshi lolote ni kulinda mipaka ya nchi nzima, iwe mifupi au mirefu, Sasa kwasababu mipaka ni mirefu ndio iwe sababu ya KDF kushindwa kulinda nchi?, Huko ndio kushindwa kwenyewe kwa KDF. Muwaulize uwezo wao wa kulinda mipaka ni urefu wa kilometa ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mfano wewe umeajiri walinzi kulinda nyumba yako, siku Moja majambazi wakawastikiza walinzi wako na kufanikiwa kuingia ndani kuiba na wakaua mtoto wako, baada ya mwaka mmoja wakarudi tena na kufanikiwa kuvunja na kuiba na kuua tena mtu, walinzi wako wakakupa sababu kwamba wanashindwa kutofautisha kati ya jambazi na raia wema.

Mara ya tati wakarudi tena na kufanikiwa kuvunja nyumba na kuiba, majibu ya walinzi wako ni yaleyale kwamba wanashindwa kutofautisha kati ya majambazi na raia wema,[emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania walivamia mara Moja, tukajiuliza wapi tulikosea na tukaweka mikakati ya kuwadhibiti, hawajarudi tena.

Osama alifanikiwa kuwapiga wamarekani mara Moja, wakajiuliza wapi walikosea, wakaweka mikakati na hilo tukio halijatokea tena.

Udhahifu wa KDF ni kwamba, hawajiulizi na kuja na mikakati ya kuwadhibiti Alshabaab isiweze kuvuka mipaka kuingia Kenya, wacha sababu za kipuuzi kwamba mpaka wa Somalia na Kenya ni mkubwa, Jukumu la jeshi lolote ni kulinda mipaka ya nchi nzima, iwe mifupi au mirefu, Sasa kwasababu mipaka ni mirefu ndio iwe sababu ya KDF kulinda nchi?, Huko ndio kushindwa kwenyewe kwa KDF. Muwaulize uwezo wao wa kulinda mipaka ni urefu wa kilometa ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]

Asipokuelewa atakuwa amejizima data. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mfano wewe umeajiri walinzi kulinda nyumba yako, siku Moja majambazi wakawastikiza walinzi wako na kufanikiwa kuingia ndani kuiba na wakaua mtoto wako, baada ya mwaka mmoja wakarudi tena na kufanikiwa kuvunja na kuiba na kuua tena mtu, walinzi wako wakakupa sababu kwamba wanashindwa kutofautisha kati ya jambazi na raia wema.

Mara ya tati wakarudi tena na kufanikiwa kuvunja nyumba na kuiba, majibu ya walinzi wako ni yaleyale kwamba wanashindwa kutofautisha kati ya majambazi na raia wema,[emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania walivamia mara Moja, tukajiuliza wapi tulikosea na tukaweka mikakati ya kuwadhibiti, hawajarudi tena.

Osama alifanikiwa kuwapiga wamarekani mara Moja, wakajiuliza wapi walikosea, wakaweka mikakati na hilo tukio halijatokea tena.

Udhahifu wa KDF ni kwamba, hawajiulizi na kuja na mikakati ya kuwadhibiti Alshabaab isiweze kuvuka mipaka kuingia Kenya, wacha sababu za kipuuzi kwamba mpaka wa Somalia na Kenya ni mkubwa, Jukumu la jeshi lolote ni kulinda mipaka ya nchi nzima, iwe mifupi au mirefu, Sasa kwasababu mipaka ni mirefu ndio iwe sababu ya KDF kulinda nchi?, Huko ndio kushindwa kwenyewe kwa KDF. Muwaulize uwezo wao wa kulinda mipaka ni urefu wa kilometa ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
munashare border na Somalia???mna bahati nyie hamuwezi kuelewaπŸ‘ŒAlshaabab yemeni is not a joke!! Wamejitolea mhanga liwe liwalo!na wanafanyaga timing na wanashirikianaga na wale wa ndani ya Kenya!!and they are trainned with Arab countries like Yemen,Syria,Afghan,Iran,Saudi
Wwe binafsi ungetaka KDF ifanye aje vingine??au tuvamie Somalia??ukiona juzi tulipotaka kuvamia Somalia kwasababu walitaka kutuibia border Nani alikuja to their resque,Waarabu walimtuma Turkey na madronesπŸ‘Œ
 
KDF ni jeshi la mbio ndefu pindi wakisikia Magaidi wa Alshababu wameingia KambiniπŸ˜†
 
au tuvamie Somalia
Ukideclare war na Somalia yote, utapigwa kama Abunuwasi, kwa maana hata hao ethnic Somali na Rendille wa hapo Kenya watakugeuka, na Jeshi la KDF limejaa Wasomali watakuwa usiku wanakurushia maguruneti kwenye kambi.
Msije mnakimbia tu mpaka Arusha.🀣

Tuwafangulia Kambi hapo Longido tuwape mafunzo ya kijeshi bila ya ukabila.
 
Ukideclare war na Somalia yote utapigwa kama Abunuwasi kwa maana hata hao ethnic Somali na Rendille wa hapo Kenya watakugeuka na Jeshi la KDF limejaa Wasomali watakuwa usiku wanakurushia maguruneti kwenye kambi.
Msije mnakimbia tu mpaka Arusha.🀣
Hata Waziri wa ulinzi wa Kenya wa sa hivi si Ni msomali?
 
Ukideclare war na Somalia yote, utapigwa kama Abunuwasi, kwa maana hata hao ethnic Somali na Rendille wa hapo Kenya watakugeuka, na Jeshi la KDF limejaa Wasomali watakuwa usiku wanakurushia maguruneti kwenye kambi.
Msije mnakimbia tu mpaka Arusha.🀣

Tuwafangulia Kambi hapo Longido tuwape mafunzo ya kijeshi bila ya ukabila.
hao wote tunaweza wafurusha mpaka kwao!!!πŸ˜‚
Juzi kulipolipuliwa Mall ya Westgate,kundi la Kikuyu la business community lilianza kupanga kuwafanyia wasomali "dudula movement"Kama inayofanywa kule SouthAfrika kufukuza aliens!πŸ‘Œna hapo wasomali tangu leo waNairobi walitulia!!!!
Ilianza na magari za kubeba hakuna alietaka kupanda gari iliyo Msomali ndani!
Bidhaa zinazouzwa na wasomali zikawacha kununuliwa,cases zikaanza kutokea za harrasment wasomali wakitetaπŸ˜‚
Vikundi za elders za wasomali na business community ya wasomali zikaomba msamaha kwa vilio,na kweli,sisi Nani tukawasameheaπŸ‘Œ
Lakini kilichobakia ni mpakani wetu na Somalia wanaingia wanayotaka kuharass peacefull citizens that aren't armed😳
Ngoja siku kitanuka walai miaalshaabab itakipata!!!!!they will do there worst and we will make em pay with blood!!!!!
 
Lakini kilichobakia ni mpakani wetu na Somalia wanaingia wanayotaka kuharass peacefull citizens that aren't armed😳
Ngoja siku kitanuka walai miaalshaabab itakipata!!!!!they will do there worst and we will make em pay with blood!!
Miaka yote UK imekuwa na Makambi Nanyuki ili kuwalinda Wakenya wa Central dhidi ya Wasomali na hata tunasikiaga Wazungu hao wakibaka Dada zenu.

Na mumewajaza kwa Jeshi lenu,siku mukianza matata nao wanajua madhaifu yenu.
 
Miaka yote UK imekuwa na Makambi Nanyuki ili kuwalinda Wakenya wa Central dhidi ya Wasomali na hata tunasikiaga Wazungu hao wakibaka Dada zenu.

Na mumewajaza kwa Jeshi lenu,siku mukianza matata nao wanajua madhaifu yenu.
Nikuulize unamaanisha tukimvamia wasomali tutapigwa na wazungu???πŸ€”ama sjakushika vizuri
 
munashare border na Somalia???mna bahati nyie hamuwezi kuelewa[emoji108]Alshaabab yemeni is not a joke!! Wamejitolea mhanga liwe liwalo!na wanafanyaga timing na wanashirikianaga na wale wa ndani ya Kenya!!and they are trainned with Arab countries like Yemen,Syria,Afghan,Iran,Saudi
Wwe binafsi ungetaka KDF ifanye aje vingine??au tuvamie Somalia??ukiona juzi tulipotaka kuvamia Somalia kwasababu walitaka kutuibia border Nani alikuja to their resque,Waarabu walimtuma Turkey na madrones[emoji108]
Kwahiyo mumeshindwa kulinda mipaka ya nchi yenu?, Jukumu la kwanza la serikali yoyote duniani ni kulinda mipaka kuhakikisha usalama wa nchi na raia wake, hasa kutoka kwa adui toka nje ya nchi, Jeshi au serikali yoyote itakayoshindwa ni "failed state"
 
mpakani huezi jua wasomali wa Kenya na wasomali wa somalia sababu wote hawana IDsπŸ‘Œ
Na pia ni watu wapastoralism kuhamahama na mifugo,Mara wanaenda somalia,Mara Kenya,Mara Sudan,Mara EthiopiaπŸ‘Œna huwezi kuwakataza wasikulaumishe kifo Cha mifugo yaoπŸ‘Œ
Na hapo hutajua miaalshaabab Kama imejifichia wapi??kumbuka tunashare border kubwa naoπŸ‘Œna tuna population kubwa ya wasomali WakenyaπŸ‘Œ
Alshaabab wako anywhere,so hauwezi jua wapi watashambuliaπŸ‘Œso wacha kusema KDF ni dhaifu haujui ndio tuwe na amani wanapitianga mangapi WWEπŸ‘Œ
KDFπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ’ͺ
Watanzania wengi wanajua labda al shabaab ni jeshi. Hao ni RAIA ambao ni vigumu kumjua RAIA mwema na al shabaab.
Pia hushambulia kwa kuvizia. Ndio maana hata tukio LA westgate mall magaidi wengi waliokolewa kama RAIA mateka....

Kwenye issue ya DRC lazima KDF waende kama maagano ya nchi wanachama wa EAC lakini pia kwenda kuyalinda mashamba ya mahindi ya Bwana Ruto.
 
Watanzania wengi wanajua labda al shabaab ni jeshi. Hao ni RAIA ambao ni vigumu kumjua RAIA mwema na al shabaab.
Pia hushambulia kwa kuvizia. Ndio maana hata tukio LA westgate mall magaidi wengi waliokolewa kama RAIA mateka....

Kwenye issue ya DRC lazima KDF waende kama maagano ya nchi wanachama wa EAC lakini pia kwenda kuyalinda mashamba ya mahindi ya Bwana Ruto.
πŸ’―βœ…atleast one have got it rightπŸ™Jah Bless
 
View attachment 2405411


My Take: Sasa kama wameshindwa kulinda amani nchini kwao, huko DRC wanaenda kufanya nini? Haya ni maajabu ya Dunia. [emoji13]

Wewe ni boya kweli, unadhani terrorism ni same na rebels.., religious ideology vs a mere political rebellion! ideology haina mipaka, na haiwezi kukua defeated by a bullet, ukiskia neno Al shabab unaona ni watu kutokea Somalia, jinga type πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚, wewe ni mjinga kweli, pale kuna wakenya, wasomali, watz na wote ni Muslims, ila waislamu wote sio magaidi, but magaidi wote wa Al Shabaab ni waislamu, hilo liko wazi., so wanaishi kati kati ya watu, na wanaweza kufanya lolote.., pale Dar ndio makao ya wakuu wao kama hujui, mnakula na kukunywa nao.., financiers are in Dar and Mombasa.., ila wewe ni mpumbavu siku zote, unajaribu ku post kiushabiki tu, jaribu kushirikisha ubongo kwa mambo mengine ama bakia kwa level ya ku post mapicha ya magorafa za Dar tutakuelewaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watanzania wengi wanajua labda al shabaab ni jeshi. Hao ni RAIA ambao ni vigumu kumjua RAIA mwema na al shabaab.
Pia hushambulia kwa kuvizia. Ndio maana hata tukio LA westgate mall magaidi wengi waliokolewa kama RAIA mateka....

Kwenye issue ya DRC lazima KDF waende kama maagano ya nchi wanachama wa EAC lakini pia kwenda kuyalinda mashamba ya mahindi ya Bwana Ruto.
joto la jiwe pata elimu kilaza, kumbe wewe peke yako ni boya πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom