Udhaifu huu wa Ali Kiba unamfanya Diamond ang'are

tofauti nyingine nasibu anafanya biashara ya muziki ali anafurahisha- anafanya ridhaa
 
Pesa aliyopata kiba shows mbili za kenya Plus MTV ukoo wenu wote amjaingiza mwaka wote 2016 na mwaka ndio unaisha hivyo
Watajulia wapi achana nao wanapoteza muda tu humu na mambo ya watu
 
vanessa Mdee
Ndo tuambie kivip kapiga pesa kumshinda [emoji146],kwa mfano show 2 za mwisho alizofanya [emoji146] Kenya tu apo kapiga zaidi ya million mia za tz note hii show 2 tu,na sielewi jamaa kapiga show ngapi huu mwaka kasaini dili ngap,kapiga collabo ngapi,sitaki kujua
 
Mtoa post anakubaki afu anakataa,unasema wanawakilsha wote kimataifa halafu unarudi kinafiki sijui imeenda imerudi ,ukiona mtu anazngumziwa hivo ujue huyo ana nafas ,mbona hukumtaj Shetta umemtaj Kiba,
Utamtajaje diamond bila kiba habari yako ataisoma nani,wanamkubali [emoji146] ndo mana anatajwa sana kwenye newz za diamond
Sijawai ona diamond na chege wala sheta
 
kaka kibaka show hizi ndio za kwanza kwake so lazima atangaze dau,V money anapiga show Nigeria zaidi hizo za kibaba nyingi tu na ni star ndani ya Africa sio kama huyo Kibaba wa east afrika tu
 
kaka kibaka show hizi ndio za kwanza kwake so lazima atangaze dau,V money anapiga show Nigeria zaidi hizo za kibaba nyingi tu na ni star ndani ya Africa sio kama huyo Kibaba wa east afrika tu
Taja dau wewe acha ubabaishaji mtu alipwe dola 3000 awatangazie mumcheke nyie wabongo mna mana nuke,si walikuwa wote Kenya juzi apa mbon kiba kalipwa nyingi kuliko vanesa,vitu vya ubabaishaji watu hawatangazagi na ndo mana hujui izo Show analipwaga sh ngapi
 
Utamtajaje diamond bila kiba habari yako ataisoma nani,wanamkubali [emoji146] ndo mana anatajwa sana kwenye newz za diamond
Sijawai ona diamond na chege wala sheta
Na huwa nachukia sana kumlinganisha mond na vitu vya kijinga
 
According to source kiba na Vanessa wote walikula 2M ksh so wote level moja
 

5.Kiba ni mchafu haijipendi yani hajui kuvaa hawezi kuishi kistaa kitu ambacho kinamfanya aonekane wa kawaida wakati Diamond ni msafi Classic anajua kutupia na mashauzi ya kistaa staa yaazidi kumpa thamani......teh teh teh teh
 
Vijana wa Diamond wote wanamzid Kiba
 
Acheni kundanganya Kiba,Diamond ni Wakimataifa Kiba ni wamatopeni. Huo ndio ukweli.
 
Huyu Ali kiba nampa miaka miwili tuu... Akina Harmonize na Rayvany watakuwa juu yake. Wait the time w'll tell
 
Kingine amtongoze faiza fox awe demu wake atamsaidia maana yule dada akili sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…