robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Mfano mzuri ni tabia ya Mwigulu ambayo ilivumiliwa na marafiki kama akina Kikwete kwa sababu zao za kiharibifu hadi kupewa nafasi kubwa ktk CCM. JPM akamuondoa ktk uwaziri. Sasa ameingia rais ambaye wengi tunaamini anashauriwa. Bahati mbaya wanaomshauri ni wale wale wenye akili ya kiharibifu, Mwigulu kaonekana tena eti anafaa sana kupewa wizara! Naye karudia upuuzi wake kwa kasi zaidi.
Anajivunia Ph.D ambayo hajawahi hata kuonesha kipya kilichomo ndani ya kabrasha lake. Hajawahi kuandika chapisho lolote ili kuonesha kwamba amegundua jipya. Yeye kila leo ni kusema ana Ph.D. na katuonesha njia ya kwenda Burundi kwenye unafuu wa maisha. Inasikitisha kwamba mafanikio ya watu kama akina Nchemba ni matokeo ya udhaifu wa marais wanaokua madarakani.
Anajivunia Ph.D ambayo hajawahi hata kuonesha kipya kilichomo ndani ya kabrasha lake. Hajawahi kuandika chapisho lolote ili kuonesha kwamba amegundua jipya. Yeye kila leo ni kusema ana Ph.D. na katuonesha njia ya kwenda Burundi kwenye unafuu wa maisha. Inasikitisha kwamba mafanikio ya watu kama akina Nchemba ni matokeo ya udhaifu wa marais wanaokua madarakani.