Udhaifu wa Mwafrika Mbele ya Mzungu na Mwa Asia. Chanzo Chake.

Udhaifu wa Mwafrika Mbele ya Mzungu na Mwa Asia. Chanzo Chake.

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Huw anawaza sana miaka ile nikisoma jinsi ambavyo wakoloni walikuja kututawala waafrika. jinsi ambavyo waarabu walikuja kutuchukua na wkenda kutufanya watumwa. najiuliza sana na sipati majibu. nawaza na kuwazua napata majibu inawezekana kwa kiasi kikubwa sana kiasili sisi waafrika ni dhaifu sana kwa wazungu. na waarabu pia.

ni ngumu jinsi ambavyo wazee wetu walikuw ana nguvu miaka ile walikuwa na uafrika hasa walikuja kutawaliwa na wazungu wachache na waraabu wachache pia kututawala na kutufanya watumwa. ukisoma na kuangalia zile picha unakuta waarabu watatu au wanne wana msafara wa mamia ya waafrika wanawapeleka utumwani.

ukiangalia picha unakuta waafrika mamia wamemzunguka mwarabu au mzungu ambaye amebebwa na ambabu zetu shababy mabegani mwao. unajiuliza tulikuwa tumerogwa? hawa watu walitufanya misukule yao? ukiacha sehemu chache chache ambzao tulijaribu kuasi kwa kiasi flan lakini badokwa sehemu kubwa tulitawaliwa. tukisem walikuja na dini then bado tulipaswa kuwaza na kuangalia uhalali wa maneno waliyokuwa wanatwambia na vitendo vyao.

asili ya udhaifu wetu kwa haawa watu mpaka hii leo ni nini? mpaka dunia hii ya leo mkitaka maisha yetu yawe magumu watu hawa waamue kututenga. tutakuwa na hali mbaya sana kiuchumi na kijamii kwa ujumla . sisi tunatatizo gan ?ni wapi tumekosea?
 
Unajua ukishawishika kutawaliwa kifikra na kimtazamo na kiitikadi na mambo mengine kama hayo tayari unakuwa mateka na kutumikia matakwa ya mshawishi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpaka siku tukitupa jalalani biblia na quran tutakuwa huru na tutapiga hatua kimaendeleo.
Kwani mwanzoni wakati wanakuja, tulikuwa na Biblia na Qurani? Kama hazikuwepo, ni kwa nini walitawaliwa? Kama Biblia ni chanzo, hatukuwa nazo kabla ya wazungu. Navyojua wazungu walitawala hata kabla hawajaeneza Biblia zao. Hivyo shida siyo Biblia, Qurani wala Elimu ya kizungu.
 
Kwani mwanzoni wakati wanakuja, tulikuwa na Biblia na Qurani? Kama hazikuwepo, ni kwa nini walitawaliwa? Kama Biblia ni chanzo, hatukuwa nazo kabla ya wazungu. Navyojua wazungu walitawala hata kabla hawajaeneza Biblia zao. Hivyo shida siyo Biblia, Qurani wala Elimu ya kizungu.
kabla ya quran na biblia tuliweka resistance kidogo(mkwawa,bushiri etal)..baada ya hivyo vitabu tumekuwa mazombi
 
Kwanza tuachane na Dini zao pili Tamaduni zao, Tuwekama China,Japan,Korea. Tutumie lugha yetu ya Asili katika kufundishia watoto wetu.Tuache Akili ya Asili ifanye kazi yake. Ivi wingereza kuna somo la kiswahili darasani? Mahana kwetu kuna somo la English.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usaliti ni dhambi isiyoacha mtu salama. Siasa kwa sasa ndio inatugharimu yaan nchi inashitakiwa na wakili upande wa mshitaki ni mtanzania..just imagine baada ya uchaguzi tunakuwa maadui kabisa wa serikali kwa miaka mitano yaaan mtoto anazaliwa mpk anaenda shule.
Rgds
Shame on us

Sent using Jamii Forums mobile app
 
miongoni mwetu waliungana na mkoloni kukinzana na wenzao,vichwani mwao hawakuwa taifa moja bali tawala tofauti,waliopelekwa utumwani walikamatwa/kuuzwa na viongozi wao,ilikua biashara halali kama zingine tu kwa sasa,wakoloni walikuwa wamoja katika agenda yao ilhali sisi hatukuwa na agenda,leo hii mwagtika atamthamini mjukuu wa mkoloni na ku-conspire nae kuliko mwaftoka mwenzie pengine kisa dini tu!
 
kabla ya quran na biblia tuliweka resistance kidogo(mkwawa,bushiri etal)..baada ya hivyo vitabu tumekuwa mazombi
mbona mkwawa na abushiri walikuwa waislam wakati wa mapambano yao,barua za mkwawa kwa abushiri ni za kiswahili kwa maandishi ya kiarabu
 
kabla ya quran na biblia tuliweka resistance kidogo(mkwawa,bushiri etal)..baada ya hivyo vitabu tumekuwa mazombi
mbona mkwawa na abushiri walikuwa waislam wakati wa mapambano yao,barua za mkwawa kwa abushiri ni za kiswahili kwa maandishi ya kiarabu
 
kabla ya quran na biblia tuliweka resistance kidogo(mkwawa,bushiri etal)..baada ya hivyo vitabu tumekuwa mazombi
mbona mkwawa na abushiri walikuwa waislam wakati wa mapambano yao,barua za mkwawa kwa abushiri ni za kiswahili kwa maandishi ya kiarabu
 
Sababu ni utengamano wetu, kulikuwa na zaidi ya communities 10000. Some rivals, some snitches.
It was easy. Ila ukoloni umesaidia kutuleta karibu zaidi, US of Africa itapigwa sana vita, ila itatukia some future days ahead, when we're really educated, religion isn't holding us back anymore. hapo ndipo tutaheshimika.
 
Sababu ni utengamano wetu, kulikuwa na zaidi ya communities 10000. Some rivals, some snitches.
It was easy. Ila ukoloni umesaidia kutuleta karibu zaidi, US of Africa itapigwa sana vita, ila itatukia some future days ahead, when we're really educated, religion isn't holding us back anymore. hapo ndipo tutaheshimika.
US of Africa hiyo ni ndoto, kwani wale wote wenye mtazamo huo watafanyiwa zengwe kama Gaddafi na kuondolewa au kuuawa. Waone tu hawa jamaa wanaoitwa nchi za magharibi wakiongozwa na marekani. We angalia tu walicho kifanya kwa USSR, na bado wanaendelea kumrestrain Russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tuachane na Dini zao pili Tamaduni zao, Tuwekama China,Japan,Korea. Tutumie lugha yetu ya Asili katika kufundishia watoto wetu.Tuache Akili ya Asili ifanye kazi yake. Ivi wingereza kuna somo la kiswahili darasani? Mahana kwetu kuna somo la English.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Huo nguo, usafiri, technolojia kwa ujumla wake tunawategemea wao kuacha tamaduni zao na lugha yao itatusaidia nn sasa.
 
Kwanza tuachane na Dini zao pili Tamaduni zao, Tuwekama China,Japan,Korea. Tutumie lugha yetu ya Asili katika kufundishia watoto wetu.Tuache Akili ya Asili ifanye kazi yake. Ivi wingereza kuna somo la kiswahili darasani? Mahana kwetu kuna somo la English.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye red, elimu itakuwa hii ya masomo ya kiulaya ukaya (mf Mathemstics, Physics n.k)? Au masomo yatatokana na elimu ya kiafrika? Hahaha, sijui hata kama kuna elimu ya kiafrika.
 
Back
Top Bottom