Udhaifu wa Mwafrika Mbele ya Mzungu na Mwa Asia. Chanzo Chake.

Udhaifu wa Mwafrika Mbele ya Mzungu na Mwa Asia. Chanzo Chake.

Bora niwe paka ulaya kuliko mtu Africa

Tunalilia mawigi ,nywele zao

Tunakimbilia mataifa yao na kuwaosha mabibi zao ,kufanya ukahaba ...utumwa mpya tunajipeleka




a0875daa245bd48076a4f4af8591855f.jpg
 
Kwanza tuachane na Dini zao pili Tamaduni zao, Tuwekama China,Japan,Korea. Tutumie lugha yetu ya Asili katika kufundishia watoto wetu.Tuache Akili ya Asili ifanye kazi yake. Ivi wingereza kuna somo la kiswahili darasani? Mahana kwetu kuna somo la English.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hao walitawaliwa kama sisi na walibadilishana binadamu kama biadhaa na africa nadhani ndio tulikuwa wa mwisho kwenye hii biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya utumwa haikufanyika Africa tu hata Ulaya na Asia ilikuwepo sana, tena Asia ndo zaidi. Zilikuwepo koo za kitumwa kabisa. Kwa Africa ilishamili kutokana na nguvu za Mababu zetu kufanya kazi ndo mana huku ilifanyika kwa kiasi kikubwa sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huw anawaza sana miaka ile nikisoma jinsi ambavyo wakoloni walikuja kututawala waafrika. jinsi ambavyo waarabu walikuja kutuchukua na wkenda kutufanya watumwa. najiuliza sana na sipati majibu. nawaza na kuwazua napata majibu inawezekana kwa kiasi kikubwa sana kiasili sisi waafrika ni dhaifu sana kwa wazungu. na waarabu pia.

ni ngumu jinsi ambavyo wazee wetu walikuw ana nguvu miaka ile walikuwa na uafrika hasa walikuja kutawaliwa na wazungu wachache na waraabu wachache pia kututawala na kutufanya watumwa. ukisoma na kuangalia zile picha unakuta waarabu watatu au wanne wana msafara wa mamia ya waafrika wanawapeleka utumwani.

ukiangalia picha unakuta waafrika mamia wamemzunguka mwarabu au mzungu ambaye amebebwa na ambabu zetu shababy mabegani mwao. unajiuliza tulikuwa tumerogwa? hawa watu walitufanya misukule yao? ukiacha sehemu chache chache ambzao tulijaribu kuasi kwa kiasi flan lakini badokwa sehemu kubwa tulitawaliwa. tukisem walikuja na dini then bado tulipaswa kuwaza na kuangalia uhalali wa maneno waliyokuwa wanatwambia na vitendo vyao.

asili ya udhaifu wetu kwa haawa watu mpaka hii leo ni nini? mpaka dunia hii ya leo mkitaka maisha yetu yawe magumu watu hawa waamue kututenga. tutakuwa na hali mbaya sana kiuchumi na kijamii kwa ujumla . sisi tunatatizo gan ?ni wapi tumekosea?

WAPI TUMEKOSEA WAAFRIKA?
Ni hoja nzuri kufiri! nini chanzo cha kuonekana Waaafrika ni watu Duni!
Mwaka 218 K.K Afrika Iliivamia Ulaya! Tuliwatandika Wazungu Mpaka Italy!
1789 Vikijulikana kama Vita vya Ithandalawana Resistance Kule Kwa Mfalme MSWATI Swaziland Tukiwa na Rungu za Mpingo na Military Tactics za Kiafrika Walikufa Wazungu 1500 kwa siku moja wakiwa na Magobore na Mizinga!Wakakimbia.
1890s Chief Mkwawa aliwapiga Wajerumani zaidi ya Mara Tatu! Na kila wakati wakikimbia kwa kushindwa!
Afrika imekuwa ya kwanza kuvumbua Chuma toka Aridhini miaka mingi kabla ya Wazungu.
Siri ya Mwafrika kushindwa ni Moja tu! ndiyo inayotutofautisha na Watu wenye Nywele za Kupepea! KUKATA TAMAA MAPEMA! We cant hold our victory for the long time!
MUNGU ATUSAIDIE TUSIWE TUNAKATA TAMAA MAPEMA.
Ukiondoa HUJUMA ZA WAZUNGU( ambazo ni nyingi dhidi ya waafrika) Katika kila eneo la maisha tunawahi sana kukata tamaa!
Sifa inayotutofautisha na Weupe ni Moja Tu! Hawakati Tamaa kamwe! Kama Unabisha Jifunze kwa Arsenal.
 
Mapenzi tuliyonayo waafrica kati yetu ni silaha kubwa inayomwogopesha mtu mweupe. Hii ndiyo sababu ya wao kutuletea chiki na fitna.

Fikiria mtu anavyosomesha uko wake wote na wote wanakaa kwak, roho hii kwa mzungu hakuna na serikali imekuwa kama familia ya pili kwao.
 
USIFUKUE MAKABURI

LET BYGONE BE BYGONE
 
Mambo mwili tu
1. Usaliti miongoni mwetu ambao hadi leo waafrika hadi watanzania wenzentu wanauendeleza dhidi ya jamaa zao waafrika/watanzania wenzao.

2. Hizi dini uchwara
Mzungu akafundisha usiue ila yeye anawaua waafrika sasa najiuliza wao wazungu walikuwa na haki ya kuua ila sisi, hatukutakiwa kuwaua wazungu koko wakati ule wa ukoloni !?

Ila Mimi hata leo Mzungu akinichezea namtengua hakuna kuulizana kisha tunafanya kesi. Bora nifungwe ila Mzungu tayari yuko chini kwanza Yaani moyo nimeutenga na mwili ndiyo tufanye kesi na siyo huo upupu wa kuwabeba.

Huo ndiyo ujinga tulioufanya.

Any way , first mistake is a long life pain.
 
mie nawaza kiimani ....mwenyezi mungu ana makusudi yake kwa kutofautisha madaraja ya utaifa na rangi za watu wake... maana ikitafakari sana daraja alilotuweka mwenyezi mungu sisi ngozi nyeusi kuanzia kufikiri mpaka kutenda kwa kujilinganisha na wenzetu weupe..unaweza ikakufuru...
 
mie nawaza kiimani ....mwenyezi mungu ana makusudi yake kwa kutofautisha madaraja ya utaifa na rangi za watu wake... maana ikitafakari sana daraja alilotuweka mwenyezi mungu sisi ngozi nyeusi kuanzia kufikiri mpaka kutenda kwa kujilinganisha na wenzetu weupe..unaweza ikakufuru...
Kukufuru ndo nini? Ndo ujinga wenyewe huu.
 
Kuna mwanasiasa wa zamani wa Kenya.Yeye aliapa hatopanda ndege inayoendeshwa na Mwafrika,leo hii Wazungu wanapanda ndege inayoendeshwa na mwafrika.Tatizo ni hatuaminiani.Vilevile hatujifunzi na kuboresha na kuweka records za cause effect ili kizazi kijacho kisianze mwanzo Bali kiendeleza tulipofikia na kiwarithishe watoto wao hivo kuwa na technologia endelevu.
 
Back
Top Bottom