Udhaifu wa TCU kusimamia elimu sasa kila mtu anajipa cheti cha PhD

Udhaifu wa TCU kusimamia elimu sasa kila mtu anajipa cheti cha PhD

Tumeamua kuukumbatia UJINGA maana watawala waligundua ni silaha kubwa ya kuwatawala Watanzania.

Mkijitutumua kidogo tu wanawakumbusha jinsi mlivyo wajinga. Mnabaki kunywea tu.
 
Hivi Babu Tale hata kusoma na kuandika anajua kweli?
 
Jana, leo, watu wanajitangaza kupewa PhD. Bunge sasa limekuwa ni kama chuo cha kutafuta PhD. Yaonekana hata semina za ndani ya CCM hawapeani maonyo juu ya tabia mbaya.

Kubwa zaidi ni udhaifu wa TCU. Yaani TCU wapo kwa ajili ya kusimamia udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu tu! Hawasimamii taratibu zinazondoa heshima ya elimu ya juu kama vitenbdo hivi vya wabunge.

Hawa wanaojitangaza kupewa PhD ni wazazi je, watoto wao wanaona kuna sababu yoyote ya kusoma PhD? Maana baba zao hawakusoma hata cheti, lakini wanapewa PhD. Bahati mbaya kizazi cha wanasiasa ndio hicho tena kinaingizwa katika siasa kwa mbinu zote.

Baba ni mwizi, ana Phd ya mchongo na mtoto amekuwa akiona hayo. Ndio maana tunaona watoto wa wansiasa walioko katika siasa, hakuna mtu wa maana zaidi ya kubebwa.
 

Attachments

  • 7BF2EC8E-23BF-4270-A5D5-E54CCC738211.jpeg
    7BF2EC8E-23BF-4270-A5D5-E54CCC738211.jpeg
    167.9 KB · Views: 4
Jana, leo, watu wanajitangaza kupewa PhD. Bunge sasa limekuwa ni kama chuo cha kutafuta PhD. Yaonekana hata semina za ndani ya CCM hawapeani maonyo juu ya tabia mbaya.

Kubwa zaidi ni udhaifu wa TCU. Yaani TCU wapo kwa ajili ya kusimamia udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu tu! Hawasimamii taratibu zinazondoa heshima ya elimu ya juu kama vitenbdo hivi vya wabunge.

Hawa wanaojitangaza kupewa PhD ni wazazi je, watoto wao wanaona kuna sababu yoyote ya kusoma PhD? Maana baba zao hawakusoma hata cheti, lakini wanapewa PhD. Bahati mbaya kizazi cha wanasiasa ndio hicho tena kinaingizwa katika siasa kwa mbinu zote.

Baba ni mwizi, ana Phd ya mchongo na mtoto amekuwa akiona hayo. Ndio maana tunaona watoto wa wansiasa walioko katika siasa, hakuna mtu wa maana zaidi ya kubebwa.
TCU wakomae na ubora wa elimu ya vyuo vya elimu ya juu tu, huko kwingine hakuna madhara makubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali sio kupewa, swali unapewa kwa lipi? Hizo wananua tu wala hamna la maana. Nafahamu watu wengi Sana walio nunua hizo PhD.
Mueleweshe huyo, kazijulia juzi tu kwenye Instagram....
Hajui hata maana ya kwa nn mtu anatunukiwa
 
Back
Top Bottom