Udhaifu wa TCU kusimamia elimu sasa kila mtu anajipa cheti cha PhD

Tumeamua kuukumbatia UJINGA maana watawala waligundua ni silaha kubwa ya kuwatawala Watanzania.

Mkijitutumua kidogo tu wanawakumbusha jinsi mlivyo wajinga. Mnabaki kunywea tu.
 
Hivi Babu Tale hata kusoma na kuandika anajua kweli?
 
 

Attachments

  • 7BF2EC8E-23BF-4270-A5D5-E54CCC738211.jpeg
    167.9 KB · Views: 4
TCU wakomae na ubora wa elimu ya vyuo vya elimu ya juu tu, huko kwingine hakuna madhara makubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali sio kupewa, swali unapewa kwa lipi? Hizo wananua tu wala hamna la maana. Nafahamu watu wengi Sana walio nunua hizo PhD.
Mueleweshe huyo, kazijulia juzi tu kwenye Instagram....
Hajui hata maana ya kwa nn mtu anatunukiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…