kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Hivi huu udhaifu unaoonyeshwa na team za kitanzania dhidi ya team za Kenya, si hatakama, tunaingia nao vitani, yani vita mapambano ya kijeshi si wanatudunda hawa. Naona kila eneo wa tz tu wanyonge tu. Nimewaza tu jamani.