Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

Ikatokea umeanzisha thread yeyote hapa jamvini(hasa ya siasa au dini) alafu ukaona watu kama Mzee mwanakijiji,
Mkandara,Nguruvi3, Kiranga,Ogah,Chama wa G,mboto,Pasical,FJM, Mwita manyara,Mchambuzi,NazDaz na wale wote
wenye kufanana na hawa watu, ukakuta wameingia kwenye hiyo thread yako na wanaanza kutoa macoment basi ya
kupasa ujiandae kwa hoja na si viroja....yaani vinginevyo ni lazima ule chocho! chezea hao watu wewe. So binafsi
sishangai babu yangu Mohamedi saidi kuingia mitini! hata ingekuwa ni mimi lazima ningekula chocho....chezea hao watu wewe!
 
Hoja nyingine zinasikitisha kama si kushangaza! Kuna hawa wanaozungumzia mfumo kristo na ukiwauliza wananyooshea kidole baraza la Mitihani Tanzania. Hii ni kama ile simulizi ya Mwanakondooo na chui kwenye Ngano za Esopo.

Zamani watu hawa walikuwa vidole vyao wakivielekeza Ikulu; Mwalimu akatoka akamwachia mwenzao! Wakaanza kunyooshea vidole Wizara ya Elimu; akawekwa mwenzao! Na utawala huu wa awamu hii, nahisi rais akiogopa kuyaudhi makundi haya, amehakikisha wizara hiyo inashikwa na mwenye imani yao hao toka aingie na nina uhakika atamaliza wizara hii ikiendelea kushikiliwa na wenye imani hiyo hiyo. Sasa Ngebe za magenge yale zimehamia Baraza la mitihani!! Yaani rais mwenzao, Makamu wa rais mwenzao, waziri wa Elimu mwenzao, mkuu wa kitengo cha upelelezi (usalama wa taifa) mwenzao; lakini hawa watu bado wanauona mfumo kristo katika baraza la mitihani!!! Hawaishi kulalama kuwa baraza la mitihani linawahujumu, je huyu mkuu wa kitengo cha upelelezi ameshindwa kupandikiza watu wa usalama mle ndani ya baraza wakasambaratisha hiyo dhulma, na badala yake huwa anawapasha kwa siri tu kuwa wanabaguliwa?

Hiki ni kitovu cha unafiki na waseme kuwa nia yao si kupambana na mfumo wanouita mfumo kristo, ambao kikweli haupo. Nia yao ni kupambana na wasio na imani yao ili hatimaye wausimike mfumo wa imani yao ndani ya utawala!! Naam, siku zote watu hawa hujigamba kuwa imani yao ni mfumo kamili wa maisha ukihusisha na mambo ya utawala. Ikiwa nia yao ni kusimika mfumo wao wa imani katika utawala, basi waanzishe vyama vyao vya siasa visimame rasmi vikieleweka nia yake nini!! Hawa wanaotajwa tajwa ni visingizio tu, kama vile visingizio vya Chui dhidi ya mwanakondoo kwenye zile ngano za Esopo, nia yake ikiwa kumshambulia na kumla mwanakondoo.

Huyu msomi wetu Mohammed Saidi ni msemaji mkuu wa makundi yenye imani, fikra, misimamo na mwelekeo huu. Harakati zao zinakosa nguvu tu kwa kushindwa kuungwa mkono na wenye imani ya dini kama yao; ambao walio wengi wanaona dini kama dini na si chombo cha kutawala (kama vyama vya siasa). Ki-ukweli udhaifu wa hoja zao ndo tatizo kubwa ambalo linawafanya wengi wa wenye imani kama yao washindwe kuwaamini na kuwafuata. Mbinu zao zimebaki kwenye kutoa vitisho vya kishabiki kama tulivyoona wakitishia kugomea sensa!
 
Muchonganishi wewe mutu hahatri sana kwa jamii hiyo habari ya udini peleka Iran sio TZ
 

hao uliowataja ndio coba wenyewe! Udhalimu wao kwa wislamu ni mkubwa hapa tanzania.
 
hiii hoja ngumu.......tumezoea kulalamika....kwa hivyo mnataka wote tufuate sheria zenu waislamu....
 

Heshima yako mkuu, nakuelewa sana unacho kisema labda nikili kwamba kosa nililo fanya ni kutosoma post yake in full. Baadae nilipo soma kwa kina ndio nikagundua kwamba kuna walakini fulani, kwa mfano: Anaposema kwamba kama angekuwa anatoka ziarani VATICAN hakuna mtu yeyote angemuhoji; Statement hiyo ilinishangaza SANA!!! alafu niliwahi kosoma somewhere akimsema marehemu Dk. Kyaruzi kana kwamba haukuwa mkweli kuhusu wadhifa alio kuwa nao kwenye chama cha TAA in terms ya mchango wake katika harakati zao! Si hilo tu hata ili la ku-conveniently avoid kutaja majina ya MaRaisi/Wakuu wa tahasisi za Serikali zinazo simamiwa na Waislaam wenzake zilizo husika katika matukio ya kuzuia fujo au maandamano yasio na kibali, badala yake kuilahumu Serikali wholesale! Siamini kama anashindwa kuwataja kwa bahati mbaya au ana kitu kingine moyoni MWAKE.
 
Why do Muslims like to complain, have you ever asked yourself these questions???

Where in the world is the beautiful and peaceful Muslim country that millions of people are trying to immigrate to?
Where in the world is that beautiful and peaceful Muslim culture that other nations so strongly admire?
Where in the world has the beautiful and peaceful religion of Islam created a society characterized by freedom, justice, and human rights for all that are godly?
Where in the world has the beautiful and peaceful religion of Islam produced economic prosperity and opportunity for the majority of its adherents?
 
jifunze ku summarize na wewe.... we unadhani tuna muda wa kusoma mahekaya marefu hivi..pole muislamu..
 

Siku zote mkuu mi nasema haya malalamiko ya 'waislamu' hayatolewi na waislamu sio kwa masuala ya waislamu. Mtaani na maofisini huku tunaishi na waislamu, tena waislamu kweli kweli. Ukijadiliana na muislamu ana kwa ana, hakuna aliye na malalamiko ya aina hii.
Huu ni mchezo tunachezewa na watu wachache wenye ela na mafisadi. Wametumia vizuri sana mbinu ya wagawe uwatawale. Wamefadhili watu kwa hoja za 'kutetea' uislamu. Wamefadhili uanzishwaji wa redio za 'kiislamu'. Wanafadhili makongamano yenye mlengo wa kuchochea chuki baina ya waislamu na watu wengine. Wana mtandao mkubwa wa 'masheikh' Tanzania nzima ambao baadhi wanajijua na baadhi hawajui kuwa wanatumiwa.
Lengo lao kubwa ni kuhakikisha kuwa serikali inayofuata inabaki mikononi mwao. Kwa bahati mbaya watanzania wengi bado hawajaligundua hili, lakini wakiligundua, itakuwa too late!!!
 

Mkuu usikubali kutekwa na wapumbavu wachache wanaotugawa. Sio culture, wala jiographia inayotutofautisha tusio waislamu na waislamu. Waislamu ni sawa na wewe, wana upendo kama wewe, wana akili kama wewe, ni wastaarabu kama wewe, na uislamu ni upendo. Kitu ambacho tunapaswa kujua ni kuwa kuna watu wachache kwa maslahi yao binafsi wanautumia uislamu kuwagawa watanzania, na hata watu wa mataifa mengine.
 

well said chief, but take it from me, these people love to complain a lot, find time to have a talk with them, very few posses the qualities you have pointed out, but the majority are headache. Just use your commonsense how was this religion spread??? Then we can be on the same page. Allllll the bessssst
 
Duh mpaka leo Mohamed Said hajatia uso kwenye huu uzi kweli nimeamini JF ina vichwa vya ukweli.Pole mzee wa Gerezani umekimbia uzi wako mwenyewe ha ha ha ha siku nyingine jipange vizuri.
 
Shukran sheikh kwa ujasiri wako wa kuitetea dini ya kiislam kwa hali na mali INSHA ALLAH MUUGU akupe ujasiri zaidi ya hapo AAAMMMMMMMMMMMMMIIINNNNN
 
tatizo sio uislamu bali matamshi uliyoyatoa nakuhakikishia hata kama ungekuwa mkristo kwa matamshi yale wakubwa hawa akina bush na blair wasingekuacha salama. mbona dr. ulimboka alipigwa akabakiza kufa je ni muislamu. mbona mwandishi Daudi Mwangosi amepigwa na kuuawa je alikuwa muislamu, acha kutugombanisha ss watanzania hatuna udini bali wenye udini ni ccm ebu angalia safu yao ya uongozi
 
Hivi mambo yako binafsi kwa nini mnakimbilia kwenye UISLAM?
Kwa nini mnapenda kulalama tu, na kuhusisha UISLAM na tuhuma zako binafsi?
Kwa kuwa wewe ni muislamu, basi hakuna halal kukushuku?
Kwa vile we muislamu, serikali ikuogope kuwa huwezi kufanya JINAI?
Mnachofanya kinazidi kudhalilisha DINI yenu, ingawa mnaona mko sawa!
 
Inahusikaje na sheria hii?! Kuna jukwaa la masuala ya dini.
 
Shukran sheikh kwa ujasiri wako wa kuitetea dini ya kiislam kwa hali na mali INSHA ALLAH MUUGU akupe ujasiri zaidi ya hapo AAAMMMMMMMMMMMMMIIINNNNN

Hivi hapo ww umeona anatetea dini??? acha kushabikia wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…