Makonyeza
Member
- Feb 2, 2020
- 72
- 261
Naaaam, sasa hii ndio maana halisi ya Udhamini
Maana halisi ya usimamizi wa Soka letu
Maana halisi ya kujali vipaji vya vijana wetu.
Kuna wazee wengi nilishuhudia hasa nikiwa Zanzibar ambako binafsi ninaamini ndiko kilipo kisima cha vipaji vya hali ya juu vya soka, mzee mmoja alimzuia kijana wake mwenye kipaji kikubwa sana kucheza Mpira kwa kuhofia kuumia uwanjani na kupoteza future yake.
Mzee alikuwa mkali sana kiasi cha kumuwekea watu kufuatilia kijana ili mradi kuhakikisha hainui mguu wake na kuuhatarisha uwanjani.
Ninaamini kama Udhamini huu wa kipekee ungekuwepo kipindi kile, kipaji cha bwana mdogo yule (namkumbuka tulikuwa tikimuita Owen) kisingepotea.
Hongera sana TFF
Hongera saaana Rais Maria.
Hongera na shukrani sana NBC, walau mmeleta kiungo kizuri kitakachonogesha Soka letu [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Maana halisi ya usimamizi wa Soka letu
Maana halisi ya kujali vipaji vya vijana wetu.
Kuna wazee wengi nilishuhudia hasa nikiwa Zanzibar ambako binafsi ninaamini ndiko kilipo kisima cha vipaji vya hali ya juu vya soka, mzee mmoja alimzuia kijana wake mwenye kipaji kikubwa sana kucheza Mpira kwa kuhofia kuumia uwanjani na kupoteza future yake.
Mzee alikuwa mkali sana kiasi cha kumuwekea watu kufuatilia kijana ili mradi kuhakikisha hainui mguu wake na kuuhatarisha uwanjani.
Ninaamini kama Udhamini huu wa kipekee ungekuwepo kipindi kile, kipaji cha bwana mdogo yule (namkumbuka tulikuwa tikimuita Owen) kisingepotea.
Hongera sana TFF
Hongera saaana Rais Maria.
Hongera na shukrani sana NBC, walau mmeleta kiungo kizuri kitakachonogesha Soka letu [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]