wadau naombeni msaada kuhusu jinsi ya kupata udhamini wa wizara katika kile chuo, nimejaza application form yao, kwenye sponsorship nimechagua government, sasa wasiwasi wangu uko hapa, isije ikawa kuna form tofauti unayojaza na kuipeleka wizarani kuomba udhamini mbali na hiyo admission form, maana chuo hakijaongea lolote kuhusu ilo