Udhibiti wa taarifa za Ikulu ni muhimu sana

Udhibiti wa taarifa za Ikulu ni muhimu sana

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Mh. Mama yetu Samia Rais Wa Jamuhiri ya muungano wa Tanzania

Salaam;

Kama wengi wanavyoeleza urais taasisi kubwa na nyeti sana yapo mambo ambayo yanafanyika kutokana na maendeleo ya kitecnologia ambayo kwa umuhimu Wa Taasisi hiyo yanaharibu.

Kikao cha majuzi cha kuwafunda baraza la mawaziri Mmmh yapo mambo ambayo hayapashwi kuwa aired, statement ya " kila Mtu anakula urefu Wa kamba yake" na unafahamu kwamba wanakula inatunyima amani sisi watu wako, ndiyo maana kumbe "kwa usemi Wa Makamu wako; watu wanachawiana kupata nafasi ili wafaidi siyo za kuwatumikia watu kwa dhati.

Nashauri vikao vya kusemana vifanyieni chumbani sisi watoto sebureni tusisikie, Uhuru wa habari za Ikulu uwe na mipaka tena ziweekewe mkuta mrefu zitoke baada ya kuhakikiwa, mnatupa wasiwasi na Kule tuendako. kama kuna kufaidi si basi ungefaidisha mikoa yote ukateua for equal distribution
 
Anatutishia na taasisi yake Kwa sababu Wana bunduki, na Ni watekaji wa wakosoaji

Ila taasisi hiyohiyo kumuandia hotuba zenye welidi wamishindwa
 
Laana juu ya laana , unakula Mali ya umma kwa urefu wa kamba . Walaaniwe wote na kamba zao shingoni.
Tax payer anajinyima kwa jasho na damu
 
Mh. Mama yetu Samia Rais Wa Jamuhiri ya muungano wa Tanzania

Salaam;

Kama wengi wanavyoeleza urais taasisi kubwa na nyeti sana yapo mambo ambayo yanafanyika kutokana na maendeleo ya kitecnologia ambayo kwa umuhimu Wa Taasisi hiyo yanaharibu.

Kikao cha majuzi cha kuwafunda baraza la mawaziri Mmmh yapo mambo ambayo hayapashwi kuwa aired, statement ya " kila Mtu anakula urefu Wa kamba yake" na unafahamu kwamba wanakula inatunyima amani sisi watu wako, ndiyo maana kumbe "kwa usemi Wa Makamu wako; watu wanachawiana kupata nafasi ili wafaidi siyo za kuwatumikia watu kwa dhati.

Nashauri vikao vya kusemana vifanyieni chumbani sisi watoto sebureni tusisikie, Uhuru Wa habari za ikulu uwe na mipaka tena ziweekewe mkuta mrefu zitoke baada ya kuhakikiwa, mnatupa wasiwasi na Kule tuendako. kama kuna kufaidi si basi ungefaidisha mikoa yote ukateua for equal distribution
naunga mkono hoja
P
 
wacha taarifa kama Raisi Samia atanisikia basi asiruhusu tena marusho ya matangazo kutoka Ikulu wakati anapozungumza na mawaziri au vyombo vingine vyovyote vile ,hata katika kuapisha,inatosha tukisikia kwenye taarifa za habari za redio na televisheni.

nakumbuka alipotembelea hospitali yakamtoka maneno ....nyie tokeni hukoooo... ikawa gumzo mitaani ,juzi katamka habari ya kula kwa urefu wa kamba imekuwa balaa.

nahisi ni vizuri sasa mambo ya kuhusiana na Ikulu yawe ni mambo ya ndani na vyombo vya habari viripoti baada ya habari kuchujwa,juzi kwenye mazungumzo Raisi aliposema sasa TBC fungeni mitambo ya urushaji live ,tuseme alikuwa ameshachelewa kuwaambia.

raisi asiruhusu kila anapozungumza habari ziwe live mitaani,akikohoa watu waseme ana korona,akijikuna inakuwa ni shida,akataze habari yoyote za kiofisi kurushwa live au hata kuwepo waandishi ,maana itabidi na mawaziri nao waweke au waite vyombo vya habari kwenye wizara zao wakifanya mkiutano ya ndani.

Hili nalipinga iwe mwanzo na mwisho Raisi kuonyeshwa laivu anapokuwa na kazi maalumu ya kimkutano na wenzake.
 
Transparency ni muhimu sana kwenye taasisi ya muhimu kama ya urais. Transparency itatusaidia sisi wananchi kujua tunachagua watu wa aina gani kutuongoza. Tukiondoa Transparency, nchi inaweza kuliwa kimya kimya na funza mpaka ikaoza kwa ndani kama tunavyoona nchi zilizochagua usiri kwa muda mrefu lakini sasa hivi ni maangamizi.

Mifano hai ni Ethiopia na Sudan. Ethiopia na Sudan zilitawaliwa na wababe walioamini wananchi wanatakiwa kutawaliwa bila kuwa na sauti ya namna wanavyotawaliwa. Meles Zenawi alitishia kuua, aliua, aliteka, na alifunga wale waliojaribu kufungua vinywa miaka nenda rudi. Vilevile, Al-Bashir wa Sudan naye alitenda yanayofanana.

Mataifa haya mawili sasa yamepata uhuru. Wananchi wake wanaona ni heri kufa kuliko kuukabidhi uhuru wako na wa nchi yako kwa mtu mmoja. Tujifunze kwenye somo hili.

Tanzania ni nchi changa sana kulinganisha na miamba ya dunia US wanaoweka wazi kila linalotendwa na viongozi pamoja na taasisi zao nyeti. Sisi ni nani au tumegundua nini hapa duniani mpaka tujiamini kuwa kuzuia udhaifu wetu usijulikane ndiyo njia bora ya kujipatia maendeleo?

Kwa wakati muafaka, tutavuna tunayopanda.
 
...
Nashauri vikao vya kusemana vifanyieni chumbani sisi watoto sebureni tusisikie, Uhuru Wa habari za ikulu uwe na mipaka tena ziweekewe mkuta mrefu zitoke baada ya kuhakikiwa, mnatupa wasiwasi na Kule tuendako. kama kuna kufaidi si basi ungefaidisha mikoa yote ukateua for equal distribution
... kipi bora? Kujua uendako ili ujipange mapema au ufichwe uendako upotee njia? Hayo ndio yaliyojadiliwa kwenye Cabinet ya juzi upende usipende na yanajadilwa mengi ya aina hiyo vifichoni. Ndipo tulipofikia viongozi wanajadili namna ya kula muhimu wasizidi urefu wa kamba zao na wasivimbiwe ila "kula wale".
 
wacha taarifa kama Raisi Samia atanisikia basi asiruhusu tena marusho ya matangazo kutoka Ikulu wakati anapozungumza na mawaziri au vyombo vingine vyovyote vile ,hata katika kuapisha,inatosha tukisikia kwenye taarifa za habari za redio na televisheni.

nakumbuka alipotembelea hospitali yakamtoka maneno ....nyie tokeni hukoooo... ikawa gumzo mitaani ,juzi katamka habari ya kula kwa urefu wa kamba imekuwa balaa.

nahisi ni vizuri sasa mambo ya kuhusiana na Ikulu yawe ni mambo ya ndani na vyombo vya habari viripoti baada ya habari kuchujwa,juzi kwenye mazungumzo Raisi aliposema sasa TBC fungeni mitambo ya urushaji live ,tuseme alikuwa ameshachelewa kuwaambia.

raisi asiruhusu kila anapozungumza habari ziwe live mitaani,akikohoa watu waseme ana korona,akijikuna inakuwa ni shida,akataze habari yoyote za kiofisi kurushwa live au hata kuwepo waandishi ,maana itabidi na mawaziri nao waweke au waite vyombo vya habari kwenye wizara zao wakifanya mkiutano ya ndani.

Hili nalipinga iwe mwanzo na mwisho Raisi kuonyeshwa laivu anapokuwa na kazi maalumu ya kimkutano na wenzake.
... ukifanya hivyo si unawaachia wapinzani nafasi murua ya kuji-brand mbele ya kamera? Nadhani itungwe sheria kukataza mwanasiasa yeyote kuonekana live mbele ya camera anapoongea au apate kwanza kibali cha kuonekana mbele ya camera kutoka polisi halafu sisi CCM hiyo sheria haitatuhusu pale tunapohitaji kuonekana live!
 
Transparency ni muhimu sana kwenye taasisi ya muhimu kama ya urais. Transparency itatusaidia sisi wananchi kujua tunachagua watu wa aina gani kutuongoza. Tukiondoa Transparency, nchi inaweza kuliwa kimya kimya na funza mpaka ikaoza kwa ndani kama tunavyoona nchi zilizochagua usiri kwa muda mrefu lakini sasa hivi ni maangamizi.

Mifano hai ni Ethiopia na Sudan. Ethiopia na Sudan zilitawaliwa na wababe walioamini wananchi wanatakiwa kutawaliwa bila kuwa na sauti ya namna wanavyotawaliwa. Meles Zenawi alitishia kuua, aliua, aliteka, na alifunga wale waliojaribu kufungua vinywa miaka nenda rudi. Vilevile, Al-Bashir wa Sudan naye alitenda yanayofanana.

Mataifa haya mawili sasa yamepata uhuru. Wananchi wake wanaona ni heri kufa kuliko kuukabidhi uhuru wako na wa nchi yako kwa mtu mmoja. Tujifunze kwenye somo hili.

Tanzania ni nchi changa sana kulinganisha na miamba ya dunia US wanaoweka wazi kila linalotendwa na viongozi pamoja na taasisi zao nyeti. Sisi ni nani au tumegundua nini hapa duniani mpaka tujiamini kuwa kuzuia udhaifu wetu usijulikane ndiyo njia bora ya kujipatia maendeleo?

Kwa wakati muafaka, tutavuna tunayopanda.
Hivi Ghaddafi tangu aondolewe na US+NATO na kupelekewa demokrasia ya magharibi,Hali ikoje Libya leo?
 
Hivi Ghaddafi tangu aondolewe na US+NATO na kupelekewa demokrasia ya magharibi,Hali ikoje Libya leo?
Tukae na uvundo kwakua tunaogopa kuwa kama Libya! Tunaweza kuwa na mabadiliko yenye tija kuliko aakivyofanya Libya
 
Tukae na uvundo kwakua tunaogopa kuwa kama Libya! Tunaweza kuwa na mabadiliko yenye tija kuliko aakivyofanya Libya
Hakika matako hua yanasingiziwa tu maana yenyewe hua yanatumika Kama spika tu,mchawi tumbo.
 
Hapana waseme wazi kwasababu serikali ipo kwa ajili ya wananchi, au kutaka kwenu wafanye mambo yao sirini ni kwasababu mnajua serikali iliingia madarakani kwa ule "uchafuzi" wa mwaka 2020 hivyo sio ya wananchi?

Huu msemo "siri za serikali" ndio unachochea wizi na ufisadi, sasa kama mnataka serikali iwe na siri kwa wananchi inaowaongoza basi msipige kelele mkija kusikia kuna ufisadi umefanyika popote.

Mambo ya maendeleo ya wananchi hayahitaji siri, ni mambo mabaya ndio hufanywa sirini na gizani ndio maana mtawala wa giza ni shetani, nyie mnaotetea hii siri mjiangalie mnaweza kuwa mawakala wa lucifer.
 
wacha taarifa kama Raisi Samia atanisikia basi asiruhusu tena marusho ya matangazo kutoka Ikulu wakati anapozungumza na mawaziri au vyombo vingine vyovyote vile ,hata katika kuapisha,inatosha tukisikia kwenye taarifa za habari za redio na televisheni.

nakumbuka alipotembelea hospitali yakamtoka maneno ....nyie tokeni hukoooo... ikawa gumzo mitaani ,juzi katamka habari ya kula kwa urefu wa kamba imekuwa balaa.

nahisi ni vizuri sasa mambo ya kuhusiana na Ikulu yawe ni mambo ya ndani na vyombo vya habari viripoti baada ya habari kuchujwa,juzi kwenye mazungumzo Raisi aliposema sasa TBC fungeni mitambo ya urushaji live ,tuseme alikuwa ameshachelewa kuwaambia.

raisi asiruhusu kila anapozungumza habari ziwe live mitaani,akikohoa watu waseme ana korona,akijikuna inakuwa ni shida,akataze habari yoyote za kiofisi kurushwa live au hata kuwepo waandishi ,maana itabidi na mawaziri nao waweke au waite vyombo vya habari kwenye wizara zao wakifanya mkiutano ya ndani.

Hili nalipinga iwe mwanzo na mwisho Raisi kuonyeshwa laivu anapokuwa na kazi maalumu ya kimkutano na wenzake.
Kwa hiyo SIRI ZA SERIKALI NI KULA UTAKAVYO MALI YA UMA ILA TU USIVIMBEWE.
Huu ni USALITI WA TAIFA NA UHAINI KWA NCHI. HII NCHI MASIKINI WANAHANGAIKA NA TOZO VIONGOZI WALIOPO MADARAKANI WANAOMBA MIKOPO HALAFU WANAANZA KULA WATAKAVYO.
 
Hili nalo litapita

Tuchape kazi...

Tupunguze kulialia
 
Hapana waseme wazi kwasababu serikali ipo kwa ajili ya wananchi, au kutaka kwenu wafanye mambo yao sirini ni kwasababu mnajua serikali iliingia madarakani kwa uchafuzi wa mwaka 2020?

Nasisitiza huu msemo "siri za serikali" ndio unachochea wizi na ufisadi, sasa kama mnataka serikali iwe na siri kwa wananchi inaowaongoza basi msipige kelele mkija kusikia kuna ufisadi umefanyika popote, kwasababu mliwaruhusu wafanye kwa siri, labda muwalaumu kwanini wamevujisha siri lakini sio kwanini wameibia taifa.
ndio akawepo msemaji wa serikali.

halafu badala ya kurusha laivu kama mnaonyesha mpira wa simba na yanga ambao nao siku hizi kama hujalipia huoni kitu,sivyo Kama Ikulu wanataka kuonyesha basi ni baada ya kikao kupita na kideo ifanyiwe editing kuondosha baadhi ya mambo hasa yanayotokea kimakosa kibinadamu a u hata kimzaha ,kama Raisi Samia aliposema ...kwa kina Kasimu... ,tiyari mtaani maneno hayo wakayavalisha koti.

Hakuna ulazima wa kumuonyesha Raisi Laivu ,hata huko waliko endelea Maraisi hawaonyweshi kama tufanyavyo sisi hapa ,kama ni kuonyesha basi huwa ni klipu zisizozidi hata akika moja. Na hivyo hivyo kwa hotuba ya Raisi,

Ijulikane Raisi hahutubii Taifa anahutubia Mawaziri au anahutubia mahafali au walengwa fulani tu. Sio vyema kurusha habari zake Dunia nzima.
 
Back
Top Bottom