Udhihirisho wa roho mtakatifu akaae ndani yetu

Udhihirisho wa roho mtakatifu akaae ndani yetu

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Habari za jioni Ndugu zangu.

Nnakiri kuwa mimi ni miongoni mwa watu niliokuwa nasoma shuhuda za watu hapa JamiiForums kuhusu Mungu Na ulimwengu Na roho.

Nimesoma shuhuda za watu wawili mpaka sasa Ramon Na Nelson Jacob. Nakiri shuhuda zao niliziamini na zimenifanya nipande viwango kiroho yani nimekuwa katika viwango vingine tofauti na nilivyokuwa kabla sijasoma shuhuda hizo.

Naamini wapo wengine pia ambao wamebarikiwa sana na wamepanda viwango kama ilivyo kwangu.

INAENDELEA
 
Habari za jioni Ndugu zangu....nakiri Kua Mimi Ni miongoni MWA watu niliokua nasoma shuhuda za watu hapa jamii forum kuhusu Mungu Na ulimwengu Na roho....nimesoma shuhuda za watu wawili mpaka sasa Ramon Na Nelson Jacob....nakiri shuhuda zao niliziamini Na zimenifanya nipande viwango kiroho Yani nimekua katika viwango vingine tofauti Na nlivokua kabla sijasoma shuhuda hizo....naamin wapo wengine pia ambao wamebarikiwa sana na wamepanda viwango kama ilivyo kwangu......INAENDELEA
We uko viwango gani katika kuwasiliana na Mungu?
 
Jana kilinitokea kitu cha ajabu Na cha kushangaza ambacho sijawahi kukiexperience tangu nizaliwe.......ilikua Ni Muda wa maombi usiku SAA 7 nasalii kwasababu maandiko yanasema roho wa mtakatifu anaishi ndani yetu Yani hii miili yetu Ni nyumba Ya roho mtakatifu ...maandiko yanasema roho mtakatifu Ni msaidizi wetu Mwalimu wetu Na Ni kiongozi pia....Basi nkawa naomba kama kawaida nikaanza maombi Ya Toba Na utakaso then nikaanza kumuomba roho mtakatifu nikawa nasema "Roho mtakatifu Rafiki yangu kiongozi naomba utawale mwili wangu kuanzia kichwani fahamu zangu take control over all my body msaidizi wangu najua upo ndani yangu nakuomba roho mtakatifu ujidhihirishe ndani yangu" aiseeeee Yani baada Ya kusema hivo ndani Ya sekunde ghafla nlihisi moto umewaka ndani yangu Hasa maeneo Ya kifuani Yani nkawa nahisi moto kabisa kana kwamba nimekaa Karibu Na kilo la Mkaa moto ukawa unawaka kifuani gafla nikaishiwa nguvu nikajkuta nimeganda siwezi kuongea siwez kumove yani nguvu zote zimeishia nikawa sijielewi nahisi Hali Na nguvu isiyo Ya kawaida Yani sumaku moto uzuri nlikua nimeegemea kitandani Ila lasivyo ningeanguka chini...mara akaniambia Nije kushuhudia humu Kile kilichonitokea baada Ya kusema hayo gafla nguvu zikarejea......ITAENDELEA
 
Kabla Ya kulala nikamuomba roho mtakatifu naomba nifunulie kuhusu moja mbili Tatu.......aiseee nimelala usiku nikafunuliwa sawasawa Na nilivoomba Kwa maana roho wa Mungu ndo Hua anayefunua Siri za rohoni Na mambo yasiyoonekana Kwa macho
 
Siwezi kukwambia exactly Sababu hautanielewa Ila viwango MTU unakua Una vifeel mwenyew ndani yako unajua kabisa hapa nimepanda kiroho hapa nimerudi nyuma kiroho
Unaweza niambia hata kidogo.
Unamsikia Mungu?
Do you have visions?
Or do you see angels?
Or do you get a word of knowledge?
 
Siwezi kukwambia exactly Sababu hautanielewa Ila viwango MTU unakua Una vifeel mwenyew ndani yako unajua kabisa hapa nimepanda kiroho hapa nimerudi nyuma kiroho
Nakuunga mkono,ni vigumu sana mtu kuweza kuelewa nini hasa kinatokea Roho mtakatifu anapotenda kazi,unaweza kuonekana kama umechanganyikiwa wakati kumbe unaongea kitu halisi...
 
Unaweza niambia hata kidogo.
Unamsikia Mungu?
Do you have visions?
Or do you see angels?
Or do you get a word of knowledge?
Yes vision Hua nakua nazo Muda wowote nitakapolala iwe mchana asubuh iwe sehem yeyote Ile kitendo cha kulala tu napata visions
 
Yes vision Hua nakua nazo Muda wowote nitakapolala iwe mchana asubuh iwe sehem yeyote Ile kitendo cha kulala tu napata visions
Kweli umepanda kiroho, discernment je?
 
Hiyo Neema Ya kuona Angeles sijaipata...Ila nna uwezo wa kuona mambo yanayoendelea ulimwengu wa roho,mambo yaliyotokea nyuma,Na mambo yajayo pia
Umepanda viwango vikubwa, vipi unaomba masaa mangapi?
 
Yes vision Hua nakua nazo Muda wowote nitakapolala iwe mchana asubuh iwe sehem yeyote Ile kitendo cha kulala tu napata visions
Word of knowledge Hua napata nikiwa nasoma bible....Kwa msaada wa Holly spirit nakua naelewa maandiko.. bila msaada wa roho mtakatifu ukiwa unasoma bible utakua unajiona kama vile unasoma gazeti au hadithi...lakini Kwa msaada wa Holly spirit unavokua unasoma Neno anakua anazipanua files Na fahamu zako lile Neno unakua unaliona Kwa namna nyingine very very deep Na unakua unalifeel pia ndani yako...roho mtakatifu anakua anakufundisha Kwa mifano pia
 
Back
Top Bottom