Pre GE2025 Udikteta wa Mbowe watajwa chama kutoimarika

Pre GE2025 Udikteta wa Mbowe watajwa chama kutoimarika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Chadema kimepoteza uhalali wakuikosoa CCM yale tunayokosoa hatuyaishi kwenye chama chetu"
Sasa CDM kikosa uhali wakuikosoa CCM ndiyo unahamia CCM. Mimi niseme tu msigwa ni haki yake kuhamia chama chochote hata hicho cha CCM na ni haki yake kusema chochote bora havunji sheria ya nchi. Udikteta upo vyama vyote hata huko CCM anapokwenda sema tu kwa sasa Ridhiki chadema imeisha anakwenda kupata ridhiki nyingine CCM. Huwezi ukaongoza chama kikubwa Kama CDM, ACT, CUF. Kisha usiwe dikteta. Huo ni uongo. Kiongozi mzuri ni yule anayetumia njia zote tatu yaani panapo hitaji Demokrasia, wengi wape, panapoitaji fare play unawachia watu waamue wanavyotaka, ila unapoona panakwenda kombo unakita miguu yote miwili na uamuzi wako ndiyo wa mwisho. Viongozi wote nguli duniani ndivyo wanavyo endesha Taasisi zao. Kwahiyo Mbowe hawezi akaona mambo yanaenda kombo akayaachia yaende tu kuogopa kuitwa dikteta, uongozi haundi hivyo hata siku moja.
 
😂 😂 😂
Nina uzoefu na hili la Wadada wa humu na avatar zao toka mwaka 2011
Ebwana MIMI nakataa kuna mdada humu namjua personally ni kisu kweli kweli

Neno kisu (karata ya kisu) km unacheza alubastini last Card -kisu 'Sparkle's', lisikuchanganye hio ni lugha isiyo rasmi ninamaanisha Mrembo
 
Ebwana MIMI nakataa kuna mdada humu namjua personally ni kisu kweli kweli

Neno kisu (karata ya kisu) km unacheza alubastini last Card -kisu 'Sparkle's', lisikuchanganye hio ni lugha isiyo rasmi ninamaanisha Mrembo
Wadada visu wapo wengi sana na wale wanaojifanya ni visu wapo tena wengi sana. Na huwa wanajulikana tu.
 
Nahisi wewe ndiyo hunijui, wengi wananijua kamuulize kaka Eroni, sumbai na Kapuchino wameshaniona sana tena full body achana na sura. Kingine tuko kwenye jukwaa la siasa, tujadili hoja iliyopo. Ahsante
Noted Miss Bantu
 
Msigwa yuko sahihi CHADEMA ni mali ya mtu na baba mkwe wake. Ikiwa CHADEMA ni Mali ya mtu basi wanachama wote ni Mali ya huyo mtu.
Kama Chadema ni mali ya mtu binafsi basi Ccm imefeli kabisa kuisimamia serikali,maana vyama vyote vimesajiliwa Kwa kuzingatia takwa la katiba,na serikali kwakupitia idara yake ya mambo ya siasa husimamia na kuchukuwa hatua za kinidhamu Kwa chama kisichofata utaratibu.Sasa ni kwanini Chadema haichukuliwi hatua?Pia ni Kwa nini Ccm hulalamikia uongozi wa Mbowe?Jibu ni kwamba Mbowe ni mwiba Kwa Ccm.
 
Kama Chadema ni mali ya mtu binafsi basi Ccm imefeli kabisa kuisimamia serikali,maana vyama vyote vimesajiliwa Kwa kuzingatia takwa la katiba,na serikali kwakupitia idara yake ya mambo ya siasa husimamia na kuchukuwa hatua za kinidhamu Kwa chama kisichofata utaratibu.Sasa ni kwanini Chadema haichukuliwi hatua?Pia ni Kwa nini Ccm hulalamikia uongozi wa Mbowe?Jibu ni kwamba Mbowe ni mwiba Kwa Ccm.
Kila jambo lazima mjilinganishe na CCM huo utofauti wenu na CCM wananchi watauonaje
 
Kama Chadema ni mali ya mtu binafsi basi Ccm imefeli kabisa kuisimamia serikali,maana vyama vyote vimesajiliwa Kwa kuzingatia takwa la katiba,na serikali kwakupitia idara yake ya mambo ya siasa husimamia na kuchukuwa hatua za kinidhamu Kwa chama kisichofata utaratibu.Sasa ni kwanini Chadema haichukuliwi hatua?Pia ni Kwa nini Ccm hulalamikia uongozi wa Mbowe?Jibu ni kwamba Mbowe ni mwiba Kwa Ccm.
pamoja Mbowe ni mwiba je Lissu na Heche na wengineo hawawezi. je Mbowe akifa na chama kimekufa
 
Hakuna haja ya kumsimanga Msigwa, madai yake yana ukweli.
Udiktekta wa Mbowe ndiyo unafanya CCM iwe safi kwa Msigwa? Mbona alikuwa anagombea ukuu wa kanda? Udikteta umenza baada ya kushindwa uchaguzi na sugu? NB: Mimi ni mshabiki wa uongozi wenye ukomo na possibly huwa napenda vipindi viwili vya miaka minne minne kwenye nafasi yoyote ya siasa.
 
pamoja Mbowe ni mwiba je Lissu na Heche na wengineo hawawezi. je Mbowe akifa na chama kimekufa
Hapana,ishu siyo kuwa Mbowe akifa chama nacho kitakuwa kimekufa,wapo wengi wenye uwezo wa kuongoza.Swala kubwa hapa ni kwamba katiba ya Chadema haijavunjwa,yaani kinachofanyika kuhusu uwenyekiti kipo sahihi.
 
"Chadema kimepoteza uhalali wakuikosoa CCM yale tunayokosoa hatuyaishi kwenye chama chetu"

..Msigwa angekwenda chama kingine cha upinzani.

..wiki moja iliyopita alikuwa akiikosoa vikali Ccm.

..Msigwa alikuwa anadai Ccm wana akili ndogo hawawezi kutatua shida za wananchi.

Je, ndani ya wiki moja, Ccm wamedungwa akili kubwa, na mambo yamebadilika mpaka ahamie huko?
 
kumbe! ngoja basi tusubiri afikishe miaka 30 labda atafikiria kuachia uongozi wa chama cha DEMOKRASIA kwa mtu mwingine hehehe
Katiba ya Chadema haijavunjwa Kwa jambo hilo.Kwani ni lini ccm imewahi kuchagua mwenyekiti wa chama taifa?
 
Nahisi wewe ndiyo hunijui, wengi wananijua kamuulize kaka Eroni, sumbai na Kapuchino wameshaniona sana tena full body achana na sura. Kingine tuko kwenye jukwaa la siasa, tujadili hoja iliyopo. Ahsante
Hahahahaha
 
Hapana,ishu siyo kuwa Mbowe akifa chama nacho kitakuwa kimekufa,wapo wengi wenye uwezo wa kuongoza.Swala kubwa hapa ni kwamba katiba ya Chadema haijavunjwa,yaani kinachofanyika kuhusu uwenyekiti kipo sahihi.

Sumu haionjwi
 
Back
Top Bottom