Udinese: Klabu niliyeijua kupitia mshabuliaji wake Antonio Di Natale, siku hizi haisikiki, ishashuka daraja?

Mwifwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
48,474
Reaction score
125,866
Wakuu wa jukwaa hili, salamu kwenu.

Mimi ni mpenzi wa soka japo sio mfuatiliaji sana, nikiamua kufuatilia nafanya kweli. Kwa sasa kuna akauvivu fulani..

Hii Klabu inayocheza Ligi ya Serie A Nchini Italia, niliijua kupitia mshambuliaji wake hasa miaka ya 2010, kihistoria inaonesha huwa inaingia kwenye UEFA Legue ila kwa sasa haisikiki.

Wadau mnaofuatilia soka kwa undani, hii klabu ishakuwa underdog? Tujuzane hali ya hii klabu ikoje huko majuu.
 
Ulivyo mbaya sikukuu mmekula bila hata mualiko wa ugali bada...
Sio vzr Shadeeya.ugomvi wa ubingwa ligi kuu umeuamishia kwenye udugu...
Binamu utabaki kuwa binamu wanguu tuu😂😂. Shadeeya
 
Aah udinese chama kongwe kabisa italy hapo wamepita kina zico pia bwana mdogo Sanchez huyu zico kuna mchezaji Tanzania kipindi fulan alijiita hivyo

Haikushuka daraja ila haifanyi vizuri seria A IPO nafasi za chini
 
Ulivyo mbaya sikukuu mmekula bila hata mualiko wa ugali bada...
Sio vzr Shadeeya.ugomvi wa ubingwa ligi kuu umeuamishia kwenye udugu...
Binamu utabaki kuwa binamu wanguu tuu[emoji23][emoji23]. Shadeeya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Aah udinese chama kongwe kabisa italy hapo wamepita kina zico pia bwana mdogo Sanchez huyu zico kuna mchezaji Tanzania kipindi fulan alijiita hivyo

Haikushuka daraja ila haifanyi vizuri seria A IPO nafasi za chini
Timu ikishakuwa kwenye nafasi za chini kwenye inakuwa kama haipo vile, ndio maana hasikiki
 
Moja kati ya striker niliotamani sana kumuona akikipiga timu kubwa.
 
naikumbka udinese ya kina di natale ,sanchez n kwadwo asamoah..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…