Udini ndio sababu inayoifanya Africa kushindwa kuendelea

Udini ndio sababu inayoifanya Africa kushindwa kuendelea

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Dini hizi mbili kuu zilizokuja na Majahazi ndio zinafanya mpaka sasa tunashindwa kusimama na kuwa wa moja.

Mfano: Baadhi ya maeneo hapa Tanzania wanachagua kiongozi kwa kuangalia Dini yake. upewi kipaumbele kama wewe sio wa Dini yao.

Kwa upande wa ukabila bado kuna changamoto kidogo hasa kwa haya makabila makubwa, lakini siku hizi ukabila ni mdogo.

Shida hipo kwenye Udini, Muislamu atamtetea muarabu kwa namna yoyote, na Mkristo atamtetea mzungu wa Vatican au Israel kwa namna yoyote.

Upigania dini huu unafanya mpaka watu wanashindwa kuchagua watu bora kisa sio wa dini zao.

Zanzibar sio nchi ya kidini, ila serikali imejaa udini wa kufa mtu. Na isingekuwa muungano, zanzibar uenda sheria zake zingetungwa kwa misingi ya kidini.

Hakuna kitu kinachorudisha jamii nyuma kama udini na ukabila

Wazungu na waarabu ni wabaguzi kwa watu weusi lakini kila siku tunawakumbatia huku sisi kwa sisi tukibaguana. Muislamu unabaguliwa na muarabu alafu ukija kwenye jamii nawe unabagua wenzako. Mkristo unabaguliwa na Mvatican au Muisrael ila ukija kwenye jamii nawe unabagua wenzako.
 
Waafrika tunashindw kuendelea kwa sababu ya ngozi yetu tu! Na hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo.

Yaani ukishakuwa na rangi nyeusi, automatically unakuwa mbinafsi, mpenda rushwa, mjinga, mtu usiye na uzalendo/uchungu kwa nchi yako, unakuwa kibaraka wa wengine, mchawi, mwizi, fisadi, mtu usiye jitambua mpenda maisha ya anasa, kuwadi wa mabeberu, mzembe, mvivu, nk.
 
Waafrika tunashindw kuendelea kwa sababu ya ngozi yetu tu! Na hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo.

Yaani ukishakuwa na rangi nyeusi, automatically unakuwa mbinafsi, mpenda rushwa, mjinga, mtu usiye na uzalendo/uchungu kwa nchi yako, unakuwa kibaraka wa wengine, mchawi, mwizi, fisadi, mtu usiye jitambua mpenda maisha ya anasa, kuwadi wa mabeberu, mzembe, mvivu, nk.
True
 
Dini hizi mbili kuu zilizokuja na Majahazi ndio zinafanya mpaka sasa tunashindwa kusimama na kuwa wa moja.

Mfano: Baadhi ya maeneo hapa Tanzania wanachagua kiongozi kwa kuangalia Dini yake. upewi kipaumbele kama wewe sio wa Dini yao.

Kwa upande wa ukabila bado kuna changamoto kidogo hasa kwa haya makabila makubwa, lakini siku hizi ukabila ni mdogo.

Shida hipo kwenye Udini, Muislamu atamtetea muarabu kwa namna yoyote, na Mkristo atamtetea mzungu wa Vatican au Israel kwa namna yoyote.

Upigania dini huu unafanya mpaka watu wanashindwa kuchagua watu bora kisa sio wa dini zao.

Zanzibar sio nchi ya kidini, ila serikali imejaa udini wa kufa mtu. Na isingekuwa muungano, zanzibar uenda sheria zake zingetungwa kwa misingi ya kidini.

Hakuna kitu kinachorudisha jamii nyuma kama udini na ukabila

Wazungu na waarabu ni wabaguzi kwa watu weusi lakini kila siku tunawakumbatia huku sisi kwa sisi tukibaguana. Muislamu unabaguliwa na muarabu alafu ukija kwenye jamii nawe unabagua wenzako. Mkristo unabaguliwa na Mvatican au Muisrael ila ukija kwenye jamii nawe unabagua wenzako.
Ikiwa kitu kinachojadiwa mezani in Dini au ukabila hapana shaka maamuzi yatafuata Dini au ukabila.Lakini kama jambo linalozungumuzwa ni maendeleo inakukuweje udini na ukabila viamue jambo kama hilo? Ebu dadavua kidogo ni kwa vipi wafrika tusiendelee kwa sababu ya dini na kabila zetu?
 
Dini hizi mbili kuu zilizokuja na Majahazi ndio zinafanya mpaka sasa tunashindwa kusimama na kuwa wa moja.

Mfano: Baadhi ya maeneo hapa Tanzania wanachagua kiongozi kwa kuangalia Dini yake. upewi kipaumbele kama wewe sio wa Dini yao.

Kwa upande wa ukabila bado kuna changamoto kidogo hasa kwa haya makabila makubwa, lakini siku hizi ukabila ni mdogo.

Shida hipo kwenye Udini, Muislamu atamtetea muarabu kwa namna yoyote, na Mkristo atamtetea mzungu wa Vatican au Israel kwa namna yoyote.

Upigania dini huu unafanya mpaka watu wanashindwa kuchagua watu bora kisa sio wa dini zao.

Zanzibar sio nchi ya kidini, ila serikali imejaa udini wa kufa mtu. Na isingekuwa muungano, zanzibar uenda sheria zake zingetungwa kwa misingi ya kidini.

Hakuna kitu kinachorudisha jamii nyuma kama udini na ukabila

Wazungu na waarabu ni wabaguzi kwa watu weusi lakini kila siku tunawakumbatia huku sisi kwa sisi tukibaguana. Muislamu unabaguliwa na muarabu alafu ukija kwenye jamii nawe unabagua wenzako. Mkristo unabaguliwa na Mvatican au Muisrael ila ukija kwenye jamii nawe unabagua wenzako.
Tunakosea san kudhani kuwa kuna "dini" mbili kuu.

Dini ya mwenyezi Mungi ni moja tu. Labda iiwe hatujuwi maana ya neno "dini".
 
Tunakosea san kudhani kuwa kuna "dini" mbili kuu.

Dini ya mwenyezi Mungi ni moja tu. Labda iiwe hatujuwi maana ya neno "dini".
Iko brainwashed kiasi hicho ndugu? Kuna vitu watu mnashindwa kutofautisha kati ya dini na imani. Wazee wetu walikuwa na imani ila hawakuwa na dini ujio wa dini na effect zake kwa Africa ndicho alichokizungumzia mleta mada.
 
Iko brainwashed kiasi hicho ndugu? Kuna vitu watu mnashindwa kutofautisha kati ya dini na imani. Wazee wetu walikuwa na imani ila hawakuwa na dini ujio wa dini na effect zake kwa Africa ndicho alichokizungumzia mleta mada.
Unavyoandika unaonesha wazi hauelewi maana ya neno "dini". Unakisia tu au unaendeleza ujinga uliojazwa nao.
 
bila ha hizo dini hata nguo usingekuwa unavaa. Hizo dini ndio zilizotustaarabisha, mana waafrica walikuwa ni uncivilized society kabla ya hizo dini.
 
Back
Top Bottom