mkuu acha kuwa mdini, hata kama ni kodi zetu kwani ikiwa muslim university kuna tatizo kaka
afu mekwambia uchunguze na st joseph st agustin na st jones mbona navyo vina idadi ya wakristo wengi, achilia mbali chuo cha kikristo cha tumaini ya Lushoto...me naona hauna hoja kaka..hivyo vyuo vimejengwa kwaajili ya kitu flani na si public university kama SUA< MU<UDSM au UDOM....
unapokataa kuwa shule ya kuhindi watanzania wengi hawawezi kuaford nakushangaa sana na nakuona ni mnafki mkubwa sana..wa TZ wengi hawana uwezo wa kusoma shule za wahindi, au kwaajili unadanganyika na wafrica shaaban robert na mzizima na feza...mbona nasisi wahindi hawaji shule zetu..kuna vitu ambavyo vipi duniani haviwezi kuwa sawa kaka...tuache FITNA za kijainga...
DONT PANIC Mzee!
Mimi si mdimi wala mbaguzi, na nasikitishwa na discrimintion hiyo popote duniani.
Arguments zako as usual are shallow.
Historically kutoendelezwa kwa sehemu nyingine katika nchi hii ni kutokana na muitikio wa wananchi wake katika suala la elimu(siyoilmu!)
Si jambo la kushangaza kuwa wenzetu waarabu tunaowahehimu sana katika suala la elimu(elimu dunia), hwakuwaendeleza sana raia wa sehemu walizo kaa.
Tofauti na sehemu nyingine ambazo elimu iligombaniwa.
Siyo siri kuwa Kisarawe,Kilwa,Bagamoyo,Dar es salaam, sehemu za Tabora, kigoma na nyinge nyingi zilizokaliwa na waarabu hazikujiendeleza sana kielimu(elimu dunia).Na hii haina maana kwamba sehemu nyingine ziko mbali kielimu ,la hasha.
Sasa mtu unapo taka kufukia mashimo haya ya kimaendeleo kwa kufanya mabadiliko ambayo si endelevu, kukwama ni lazima.
Ili kuendeleza sehemu hizi lazima tuanzie shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu.Must start from the grass roots.
Cha kusikitisha bado kuna sehemu nyingi nchini mabapo ni lazima umtishie kifungo mzazi ili ampeleke mwanae shuleni!!!!
Sehmu hizo mkuu Semenya unazifahamu fika!
Sasa ukianza kutupiga kodi ili dini fulani wacatch up na wae at par, thats superficial.
Sasa kwa vile vyo vya kikiristo ni vingi sana kazi kwako bwana Semenye ni wewe na wenzako kupata na kuanzisha vyuo vingi tena sana katika sehemu hizo, tena kwa msaada wa wezetu wenye mafuta mingi uarabuni-wasilete tende tu!