Swali zuri.Bnhai hebu nipe mwanga kidogo hivi hayo machapisho (publications) matatu yanayomtoa mtu mwenye masters kwenye u-assistant lecturer na kuwa lecturer wanaya-assess vipi? Maana kuna wakati unaweza ukatoa chapisho ukiwa na co-authors wengine 2 yaani mko watu au zaidi. Asante.
Anglicans!Ambao ni ?????????
kaka melielezea hilo kwa mchangiaji mmoja kuwa, sababu ya shule za wahindi kuwa na wahindi tu, ni mambo mawili kwanza wa TZ wenyewe ni wachache wanaopeleka watoto wao kwa shule wahindi coz of kipato au maranyingine hulka...na hivyohivyo kwenye vyuo vya taasis ya kidini hulka na mgongano wa mawazo potof ya kidini..ila nikamwekea angalizo kuwa...kama shule ikiwa inakiwango bora atawaona tu watanzania wakienda shule za kihindi mfani ni shaaban robert na mzizima zamani, na sasa feza boys ya MbeziKyatsavapi,Semenya,
..binafsi nadhani shule au hospitali ikiwa na huduma nzuri na za viwango watu hawatajali inamilikiwa na madhehebu gani.
..binafsi nafahamu Waislamu safi tu wamesomesha watoto wao shule za Kanisa.
..pia nafahamu sasa hivi kuna shule moja ya Waislamu inafanya vizuri na wananchi wa kila dhehebu wanapigana vikumbo kuandikisha watoto wao hapo.
From UDOM website:
Chancellor :BW Mkapa
Chairman of University Council : Mohammed Ghalib Bilal
Vice Chancellor : Prof. Idris Kikula
Deputy VC Planning,Finance
Administration : Prof Shaaban Mlacha
Tutajaza!!!!!!
Hatuhitaji kucompare tulihitaji facts kwa mleta mada naona amepotea. Haya mengine hayajengi, tuna mambo mengi zaidi ya kuanza kufuatilia dini za viongozi wa taasisiwaungwana ili kuwa wakweli na wawazi tujaribu ku compare na UCLAS na UDSM na MUCHs.
Chancellor :
Chairman of University Council :
Vice Chancellor : Prof.
Deputy VC Planning,Finance
Administration :
sasa tukijua kutoka hivyo vyuo vitatu vikuu ndipo tutapoweza sema kuna UDINI au la
waungwana ili kuwa wakweli na wawazi tujaribu ku compare na UCLAS na UDSM na MUCHs.
Chancellor :
Chairman of University Council :
Vice Chancellor : Prof.
Deputy VC Planning,Finance
Administration :
sasa tukijua kutoka hivyo vyuo vitatu vikuu ndipo tutapoweza sema kuna UDINI au la
Hatuhitaji kucompare tulihitaji facts kwa mleta mada naona amepotea. Haya mengine hayajengi, tuna mambo mengi zaidi ya kuanza kufuatilia dini za viongozi wa taasisi
aisee ni moja ya majibu mazuri kabisaHatuhitaji kucompare tulihitaji facts kwa mleta mada naona amepotea. Haya mengine hayajengi, tuna mambo mengi zaidi ya kuanza kufuatilia dini za viongozi wa taasisi
mkapa cheo chake ni cha heshima yeye anakuja kwenye awards ceremony, hajui hata nini kinaendeleaJamani naomba kuelimishwa hapa huyu Chancellor B.W.Mkapa ana marupurupu na mshahara hapo chuoni?
kwa ujumla binafsi sijawahi shuudia udini ktk vyuo vikuu vyetu, labda ukabila.
DONT PANIC Mzee!mkuu acha kuwa mdini, hata kama ni kodi zetu kwani ikiwa muslim university kuna tatizo kaka
afu mekwambia uchunguze na st joseph st agustin na st jones mbona navyo vina idadi ya wakristo wengi, achilia mbali chuo cha kikristo cha tumaini ya Lushoto...me naona hauna hoja kaka..hivyo vyuo vimejengwa kwaajili ya kitu flani na si public university kama SUA< MU<UDSM au UDOM....
unapokataa kuwa shule ya kuhindi watanzania wengi hawawezi kuaford nakushangaa sana na nakuona ni mnafki mkubwa sana..wa TZ wengi hawana uwezo wa kusoma shule za wahindi, au kwaajili unadanganyika na wafrica shaaban robert na mzizima na feza...mbona nasisi wahindi hawaji shule zetu..kuna vitu ambavyo vipi duniani haviwezi kuwa sawa kaka...tuache FITNA za kijainga...
kaka we majibu yko ndo shaloDONT PANIC Mzee!
Mimi si mdimi wala mbaguzi, na nasikitishwa na discrimintion hiyo popote duniani.
Arguments zako as usual are shallow.
Historically kutoendelezwa kwa sehemu nyingine katika nchi hii ni kutokana na muitikio wa wananchi wake katika suala la elimu(siyoilmu!)
Si jambo la kushangaza kuwa wenzetu waarabu tunaowahehimu sana katika suala la elimu(elimu dunia), hwakuwaendeleza sana raia wa sehemu walizo kaa.
Tofauti na sehemu nyingine ambazo elimu iligombaniwa.
Siyo siri kuwa Kisarawe,Kilwa,Bagamoyo,Dar es salaam, sehemu za Tabora, kigoma na nyinge nyingi zilizokaliwa na waarabu hazikujiendeleza sana kielimu(elimu dunia).Na hii haina maana kwamba sehemu nyingine ziko mbali kielimu ,la hasha.
Sasa mtu unapo taka kufukia mashimo haya ya kimaendeleo kwa kufanya mabadiliko ambayo si endelevu, kukwama ni lazima.
Ili kuendeleza sehemu hizi lazima tuanzie shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu.Must start from the grass roots.
Cha kusikitisha bado kuna sehemu nyingi nchini mabapo ni lazima umtishie kifungo mzazi ili ampeleke mwanae shuleni!!!!
Sehmu hizo mkuu Semenya unazifahamu fika!
Sasa ukianza kutupiga kodi ili dini fulani wacatch up na wae at par, thats superficial.
Sasa kwa vile vyo vya kikiristo ni vingi sana kazi kwako bwana Semenye ni wewe na wenzako kupata na kuanzisha vyuo vingi tena sana katika sehemu hizo, tena kwa msaada wa wezetu wenye mafuta mingi uarabuni-wasilete tende tu!
mkuu napangua hoja zako mbili kama ifuatayo na kwania nzuri tu
mmoja ya wahindi kuwa shule inawahindi tupu ni kwasababu zifuatazo, moja kama ni shule ya wahindi inawezekana imeshawishi wahindi wengi kwenda, pia kama ni gharama sana watanzania wengi hawawezi ku aford, tatu kama ni mpya basi hatuijui kitaalima sana ila ikiwa inafanya vizuri wa TZ watakuja, mbona hatusemi shule za wa TZ ambazo hakuna muhindi wala waarabu
kuhusu muslim university, kile ni chuo kimewekwa kaajili ya muslims, mbona kuna shule za seminari za sekondari kama visiga na st marrian hazichukui waislam,ni kwasababu zimejengwa kwa madhumuni ya wakristo, pia nakuomba uangalie idadi ya wanafunzi wanao chukuliwa st agustin, na kile chuo cha kikristo st jones, pia anagalia na st joseph cha dar...ukiangalia wengi ni christians kama asilimia 90..
unanua ni nini, pia wananchi wakisha jua ni chuo cha kiislam au cha kikristo mtu haendi kwenye chuo imani ikiwa tofauti
so hapo kuja na kitu kipya kaka
nilikua namfafanulia kuwa tusilalamike tuu, pia mbona kuna hospitali na mashule mengi tu ya wahindi weusi wanasomakwa ajili watu weusi ni more than 95% of TZ population
Unajimu umeanza lini?
mkuu napangua hoja zako mbili kama ifuatayo na kwania nzuri tu
mmoja ya wahindi kuwa shule inawahindi tupu ni kwasababu zifuatazo, moja kama ni shule ya wahindi inawezekana imeshawishi wahindi wengi kwenda, pia kama ni gharama sana watanzania wengi hawawezi ku aford, tatu kama ni mpya basi hatuijui kitaalima sana ila ikiwa inafanya vizuri wa TZ watakuja, mbona hatusemi shule za wa TZ ambazo hakuna muhindi wala waarabu
kuhusu muslim university, kile ni chuo kimewekwa kaajili ya muslims, mbona kuna shule za seminari za sekondari kama visiga na st marrian hazichukui waislam,ni kwasababu zimejengwa kwa madhumuni ya wakristo, pia nakuomba uangalie idadi ya wanafunzi wanao chukuliwa st agustin, na kile chuo cha kikristo st jones, pia anagalia na st joseph cha dar...ukiangalia wengi ni christians kama asilimia 90..
unanua ni nini, pia wananchi wakisha jua ni chuo cha kiislam au cha kikristo mtu haendi kwenye chuo imani ikiwa tofauti
so hapo kuja na kitu kipya kaka
waungwana ili kuwa wakweli na wawazi tujaribu ku compare na UCLAS na UDSM na MUCHs.
Chancellor :
Chairman of University Council :
Vice Chancellor : Prof.
Deputy VC Planning,Finance
Administration :
sasa tukijua kutoka hivyo vyuo vitatu vikuu ndipo tutapoweza sema kuna UDINI au la
pole mkuu kuna shule nyingi tuu TZ za kikristo ambazo hazichukui waislam,marrian girls, visiga seminary, st francis na nyingine nyingi...na pia kuna baadhi ya shule za kiislam hazichukui wakristo mfano almuntazir..ila wahindu wanakubaliwa hapo...ukibisha na hapo basi tenaSidhani kama Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro hawakupewa waislamu ili kiwe cha waislamu tuu. Chuo kilipewa jumuia ya waislamu wakiendeshe kwa faida ya watanzania wote. Vyuo vinavyokuwa kwa ajili ya dini moja ni theological institutes ambazo lengo lao kutoa watu watakaohudumia katika dini hizo. Kwa hali hiyo, muislamu hawezi kupokelewa Makumira seminari maana kule wanafundisha watu wanaotarajiwa kuwa mapadiri. Sijawahi kusikia kuwa hicho Chuo Kikuu cha Morogoro lengo lake ni kutoa mashehe, ustadh, maimau au makadhi! Kwa hali hiyo kilitakiwa kuwa kwa ajili ya wote bila kujali dini yao. Hivyo hivyo kwa hizo shule za wahindi. Hawawezi wakatumbulika kisheria kama watasema kuwa asie mhindi asithubutu hata kuomba! hatujafika huko.
Hauwezi ukasema shule ni kwa ajili ya wakristu tuu halafu ukasema kuwa asilimia 90 ni wakristu. Kingekuwa cha wakristu peke yake basi hata hao asilimia kumi wasingeona ndani. Sijawahi kusikia shule ambayo inaendeshwa na kanisa ( ambayo si seminari) inayokataa wanafunzi wasio wakristu (waislamu, wahindu, mapagan, rastafarians, mabaha'i, n.k). Nimefundishwa na wamisheni na darasani walikuweko wasio wamisheni. Tofauti ni kuwa mbele ya darasa palikuwa na msalaba. Kama hilo halikusumbui ruksa. Kama vile kama hauoni tatizo kuvaa hijab ingawa ni mmisheni kwa nini ukataliwe kujiunga na shule inayoendeshwa na waislamu?
Huu ubaguzi mnaotaka kuuleta ni hatari mno. Utatufikisha pabaya maana watoto wetu hawatajuana kama tunavyojuana sisi.
Amandla.......
Sio katoa karudisha kwa wenyewe!