The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
Yaani wewe na ki certificate chako cha MZUMBE ulichikipata na DDF za form four unajilinganisha na degree ya udom mtu aliyafualu form four na six kweli ww kilaza
Mzumbe tunaifaham vizur kabla hujatoka kijijin kwenu nanjilinji kuja kusoma
Wewe n kiazi mbatata
Atar atar. . . Watu wapo medali tawn wanatake cover, na Ujanja waporni na mbinu za kivita, fulu kukaba lofu! Yani wepesi!
BScE Ongera kwa kukashfu udom.
Toa hoja mkuu, imethibitika watu wanaotoa matusi JF ni watu wanaokosa hoja kusupport maoni yao, chukua tahadhari usijekuhesabiwa kwenye kundi hili.
Unachojua wewe ni BSc Education?
Sina haja ya kubishana na wewe wala siwezi kuweka taaluma yangu hapa maana hakuna ulazima, kama unaamini Udom ni chuo bora endelea kuamini hivyo hivyo maana huna jinsi mkuu.
Kama unataka kuonekana hapa weka hata password yako ya aris ili tuone matokeo yako.
Ni pm nkutumie .
Majitu mengine MAPUMBAVU...... Eti jitu zima linapondea UDOM!!!!! Uwiiii ukifuatilia utakuta kamaliza bachelor yake TEKU masters MUM!!!! We c ndo ----- mzoefu. Nyooooo........ kichwa kikubwa ndani hakuna kitu.
Wengne wanajshaua tu, na bachelor zao za MU na UDSM vyeti wanalalia chini ya godoro. Vingne vinachakalia ndani ya bahasha! Sa we una nini cha maana sana.? Kama wewe unapapenda UDSM beba chuo ukihamishie kwenu!
Mijicho na mimate inawatoka. Maneno ya mkosaji tu, hapo unatamani hata ukope pesa uende kupaone how great it is!!!!!!
Am proud kusoma udom! Ndo namalizia malizia.... God is great.
Majitu mengine MAPUMBAVU...... Eti jitu zima linapondea UDOM!!!!! Uwiiii ukifuatilia utakuta kamaliza bachelor yake TEKU masters MUM!!!! We c ndo ----- mzoefu. Nyooooo........ kichwa kikubwa ndani hakuna kitu.
Wengne wanajshaua tu, na bachelor zao za MU na UDSM vyeti wanalalia chini ya godoro. Vingne vinachakalia ndani ya bahasha! Sa we una nini cha maana sana.? Kama wewe unapapenda UDSM beba chuo ukihamishie kwenu!
Mijicho na mimate inawatoka. Maneno ya mkosaji tu, hapo unatamani hata ukope pesa uende kupaone how great it is!!!!!!
Am proud kusoma udom! Ndo namalizia malizia.... God is great.
zaidi ya ualimu kuna kazi gani ya maana wanapata?
Kweli nimeamini UDOM kumejaa vilaza wa kutosha. Hii ndio nn sasa umeandika? Yaani jitu likishafeligi secondary ujue ni lijinga sana , mm ningekuwa na office nisingekaa nikaajiri mtu wa UDOM wala SAUT
nakumbuka mwaka wa kwanza, degree ya kwanza; na course za kwanza kwa mwanachuo ni pamoja na communication skills. sijui UDOM ni tofauti?
What type of mathematics is this??[/QUOLogic+ discrete mathematic
degree ya udom equals to certificate ya mzumbe
Udom chuo cha vilaza hata div four wanapokelewa yaani wanafunzi pamoja na uongozi mzima hakuna kitu huwezi fananisha na MU au Udsm
Uzuri wa mtu katika fani si chuo ulichosomea ni mtu mwenyewe japo sijasoma UDOM.Mbona mtu anaanzia ualimu grade A baadaye anakuja kujitambua kuna mahali alitetereka anarekebisha makosa anajiendeleza mpaka anakuwa professor.Wewe uliyeandika hapa ni kilaza na kama umesoma hujaelimika unaongelea ushabiki wa vyuo bila kujitambua.Udom chuo cha vilaza hata div four wanapokelewa yaani wanafunzi pamoja na uongozi mzima hakuna kitu huwezi fananisha na MU au Udsm