Katika hali iliyojili leo hapa UDOM KITIVO CHA ELIMU, Kila mtanzania mpenda maadili anapaswa kuupongeza uongozi.
Inasemekana zaidi ya wanafunzi kumi na, wametimuliwa chuo kwa kosa la kuvaa mavazi feki.
Taarifa zilizozagaa ktk kitivo hiki ni kuwa kumekuwa na tabia ya wadada kuvaa nguo ambazo haziendan na maadili ya taaluma yao na tamaduni za tz kwa ujumla.
SAFI SANA Vice Dean! Hata hivyo nilivyopita baadhi ya block wamepanga kuanza kutembeza kichapo cha mbwa mwizi kwa msichana yeyote atakayekutwa anavaa nguo za KIKANJANJA.
Inasemekana zaidi ya wanafunzi kumi na, wametimuliwa chuo kwa kosa la kuvaa mavazi feki.
Taarifa zilizozagaa ktk kitivo hiki ni kuwa kumekuwa na tabia ya wadada kuvaa nguo ambazo haziendan na maadili ya taaluma yao na tamaduni za tz kwa ujumla.
SAFI SANA Vice Dean! Hata hivyo nilivyopita baadhi ya block wamepanga kuanza kutembeza kichapo cha mbwa mwizi kwa msichana yeyote atakayekutwa anavaa nguo za KIKANJANJA.