Wewe unaesoma chuo cha tarafa unafaida gani kwa jamii na taifa hadi sasa? Kutwa kujisifia chuo ukimaanisha wewe umesoma chuo gani bora hapa nchini ambacho hakina changamoto? Kama Udsm ndicho kimezalisha wasomi feki hadi sasa wanasumbua taifa, wanaitwa mizigo na Kinana kila siku! Sasa faida ni nini kuwa na chuo kinacho zalisha wasomi wasiojielewa! Ungekuwa na busara na elimu bora na si bora elimu unayolingia unge changia mchango wenye mashiko kuwashauri wadogo zetu wa Udom wafanye nini ili wapewe haki yao, pia wahadhiri wafanyeje katika kipindi hiki cha mitihani,wewe unaleta mashindano ya vyuo! Mambo ya kishamba kabisa, tena bora urudi kijijini ukalime mihogo hufai kuitwa msomi wewe.