Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Kuna fununu kwamba waalimu wa COLLEGE YA HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCES wamepanga kugomea kusimamia mitihani yetu tunayoanza kesho kutokana na malimbikizo ya miaka mingi ya malipo yao yanayohusiana na usimamizi wa mitihani na mengineyo.
Hivi UDOM kuna nini kila siku sisi tu?? Wiki iliyopita wanafunzi tulizuiwa na Utawala kufanya mitihani kisa hatujalipa ada mpaka waziri mkuu alipotoa tamko Bungeni.
Wiki hii waalimu nao, Hivi sisi wanafunzi tumekosa nini??
Hivi UDOM kuna nini kila siku sisi tu?? Wiki iliyopita wanafunzi tulizuiwa na Utawala kufanya mitihani kisa hatujalipa ada mpaka waziri mkuu alipotoa tamko Bungeni.
Wiki hii waalimu nao, Hivi sisi wanafunzi tumekosa nini??