Habar zenu wanajamvi, k ukwel leo nmeamua kufunguka hakuna k2 knachonkera kama utawala wa udom, watu tunaenda kufungua chuo hatujui hata matokeo we2 yamekaa vp zaid zaid 2napandishiana 2 michango ili viongoz wazid kuneemeka hii haikubalik kwa msomi yeyote kama vp kikanuke 2. Mawasilisha hoja
Huelew kwa 7b akil yako ndo ulivoitune heb iache ikuongoze then utaona kama hutoelewa
tutawapiga tumechoka sasa
Tanzania bila migomo haiwezekani!sa mnasubili nini gomeni ishi kuweni kama wana udsm hao majaa wanaeshiwa sana ata mkopo ndo hua wanakua wakwanza kupewa sasa nyie kaeni 2
kikanuke ki vipi yaani,sikuelewiiiiii msomi
Hizo ndo product za UDOM mkuu
Hizo ndo product za UDOM mkuu
He sasa utajuaje umequlify kwenda next class. Wala hamna stress ya matokeo nyie. Poleni sana.
Matokeo tayari mkuu, hao ambao hawajawekewa my be acount zao za ARIS/SR zina matatizo.