Habar zenu wanajamvi, k ukwel leo nmeamua kufunguka hakuna k2 knachonkera kama utawala wa udom, watu tunaenda kufungua chuo hatujui hata matokeo we2 yamekaa vp zaid zaid 2napandishiana 2 michango ili viongoz wazid kuneemeka hii haikubalik kwa msomi yeyote kama vp kikanuke 2. Mawasilisha hoja