ukiyaka kuujadili udini wa udom tuanze kwanza ule udsm,sua,mzumbe,nelson mandela.tangu hivi vyuo vinaanzishwa hajawahi tokea vc mwislaam.itazame necta ilovyofaywa parokia tangu inaundwa mwaka 1973 hajawahi tokea mwrnyekiti mwislam wala katibu mtendaji mwislam.ni wagala tuu tena roman catholic wenvine hawana haki ya kuiongoza necta na inaonekana watoma ndio wenye bahati na akili nyingi sana.dhulma huwa inakikomo naamini hawa wakoloni wa roma wameanza kudondoka .mwendo huu huu mpaka haki sawa kwa watanzania wote.waislam,wakriisto na wapagani.