hacha ndo nini?Sasa huo ndo moto??? hacha utoto
Sasa huo ndo moto??? hacha utoto
mara kunji colleges and schools zote. patakuwa hapatoshi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
timua timua timua timua wakakae kitaa waone joto lake mbona akili itawarudi mkichwa and I hope watapata leson. wahusika timueni wote wanaoleta utoto na chukueni wengine wenye kuhitaji shule na sio migomo
UDOM! Hawa si ndio wale waliochanga fedha ili JK achukue form za kugombea Uraisi?
timua timua timua timua wakakae kitaa waone joto lake mbona akili itawarudi mkichwa and I hope watapata leson. wahusika timueni wote wanaoleta utoto na chukueni wengine wenye kuhitaji shule na sio migomo
UDOM! Hawa si ndio wale waliochanga fedha ili JK achukue form za kugombea Uraisi?
UDOM! Hawa si ndio wale waliochanga fedha ili JK achukue form za kugombea Uraisi?
Kwa hiyo baada ya kuchangia fomu ya mgombea URAHISI wakadhani watafanya mambo wanavyotaka?!, watanzania kweli hamnazo. Ushauri wangu kwa wana-UDOM-"tumikia kafiri upate mradi wako"
UDOM! Hawa si ndio wale waliochanga fedha ili JK achukue form za kugombea Uraisi?
na wengine walizunguuka nchi nzima kumtafutia wadhamini. kama kawa kwa kuahidiwa laptop sasa yala kwao
Kwa hiyo baada ya kuchangia fomu ya mgombea URAISI wakadhani watafanya mambo wanavyotaka?!, watanzania kweli hamnazo. Ushauri wangu kwa wana-UDOM-"tumikia kafiri upate mradi wako"
Sasa huo ndo moto??? hacha utoto