Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
watimuliwe then wat? Wewe mark huu {uccm-ism} unakusumbua,cjui hata wafanya nini humu jamvini,au na wewe ni mmoja wa wapiga kampeni ya Kuokoa Three tweens??timua timua timua timua wakakae kitaa waone joto lake mbona akili itawarudi mkichwa and I hope watapata leson. wahusika timueni wote wanaoleta utoto na chukueni wengine wenye kuhitaji shule na sio migomo