Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
watimuliwe then wat? Wewe mark huu {uccm-ism} unakusumbua,cjui hata wafanya nini humu jamvini,au na wewe ni mmoja wa wapiga kampeni ya Kuokoa Three tweens??timua timua timua timua wakakae kitaa waone joto lake mbona akili itawarudi mkichwa and I hope watapata leson. wahusika timueni wote wanaoleta utoto na chukueni wengine wenye kuhitaji shule na sio migomo
timua timua timua timua wakakae kitaa waone joto lake mbona akili itawarudi mkichwa and I hope watapata leson. wahusika timueni wote wanaoleta utoto na chukueni wengine wenye kuhitaji shule na sio migomo
Ninachofahamu mimi kuwa Udom ndo wale wasomi wa vyuo vikuu Dodoma waliomchangia JK pesa za fomu ya urais. Hajawakumbuka?
wakileta utoto zaidi ni kufukuza wote watakao leta fujo moja kwa moja. kwani wanaohitaji kusoma ni wengi. mbona isue kama hizo za kutimua moja kwa moja zimesha tokea nchi nyingi tu. naona hiyo itakuwa solution kwa wanaoandamana kwa ajili ya isue ambazo siyo critical kiivo. bila kuwa na hizo laptop hawawezi kusoma?
Ninachofahamu mimi kuwa Udom ndo wale wasomi wa vyuo vikuu Dodoma waliomchangia JK pesa za fomu ya urais. Hajawakumbuka?
...,hayo mambo ya laptop alipendekeza waziri mkuu mh. Mizengo Pinda na kusema ataangalia uwezekano huo....
wakileta utoto zaidi ni kufukuza wote watakao leta fujo moja kwa moja. kwani wanaohitaji kusoma ni wengi. mbona isue kama hizo za kutimua moja kwa moja zimesha tokea nchi nyingi tu. naona hiyo itakuwa solution kwa wanaoandamana kwa ajili ya isue ambazo siyo critical kiivo. bila kuwa na hizo laptop hawawezi kusoma?
watimuliwe then wat? Wewe mark huu {uccm-ism} unakusumbua,cjui hata wafanya nini humu jamvini,au na wewe ni mmoja wa wapiga kampeni ya Kuokoa Three tweens??
watu humu mnashabikia upumbav,unauhakika na unachokisema au unaandika 2 kuonyesha uwepo wako?nani kakwambia kagoma sababu ya laptop?wengine humu mtakuwa mliapply UDOM mkatoswa thats y mnachuki binafs kwa waliopata nafasi.ACHENI UJINGA,fuatilien chanzo ndo muongee co mnabwatuka tu humu