MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Jamani hali ya elimu ya juu ndiyo hiyo wafanyakazi wa vimemo wameota mapembe hawafungui library ya chuo kisa wao wameenda sabato.Hizi dharau sana aisee.
Kwa stahili hii tutafika kweli uchumi wa viwanda.
Library ni collage ya CIVE.
Update/mrejesho
1.Library imefunguliwa saa 3 na dakika zake huko
2.Kuna mzee kaja kuulizia library imefunguliwa saa ngapi means taarifa imefika na imefanyiwa kazi.....heko JF! Huko UDOM yangu kwa kuchukua hatua za haraka.
Kwa stahili hii tutafika kweli uchumi wa viwanda.
Library ni collage ya CIVE.
Update/mrejesho
1.Library imefunguliwa saa 3 na dakika zake huko
2.Kuna mzee kaja kuulizia library imefunguliwa saa ngapi means taarifa imefika na imefanyiwa kazi.....heko JF! Huko UDOM yangu kwa kuchukua hatua za haraka.