UDOM library imefungwa wafanyakazi wameenda sabato

UDOM library imefungwa wafanyakazi wameenda sabato

Lakini si wana utaratibu wa kufungua alasiri mkuu siku kama hizi, ama wamebadili utaratibu miaka hii?
hata social library ipo hivo sijajua bondeni na coed
 
Haoo UDOM kuanzia tutor, assistant lecturer, lecturer , dean mpaka wafagia ofisi wanalindana kila mtu ana kiburi na anajiona Mungu mtu,

Mpaka madereva wanajeuri, kupiga makofi mwanachuo au kumuacha kituoni makusudi ni kawaida, pia sometimes huwa wanadhalilisha wanafunzi hasa hasa wale vijana wanaoendaga rotation

Ila sasa cha ajabu kesi anapewa mwanafunzi.

Lecturer anaita wanafunzi wachawi [emoji3]

Hapo bado hujakutana na balaa la walinzi[emoji38]

Balaa la IT muweka matokeo kwenye SR

Balaa la mwasibu

Balaa la mtihani [emoji38] lecturer anatoa mtihani wa marekani mtandaoni anaupachika nembo ya UDOM hiyo ndio CAT maswqli 150 muda ni masaa matatu mbaya zaidi swali moja linajaa robo ya karatasi [emoji38]

UDOM kila mtumishi anakiburi mpaka kunguni za pale zina kiburi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haoo UDOM kuanzia tutor, assistant lecturer, lecturer , dean mpaka wafagia ofisi wanalindana kila mtu ana kiburi na anajiona Mungu mtu,

Mpaka madereva wanajeuri, kupiga makofi mwanachuo au kumuacha kituoni makusudi ni kawaida, pia sometimes huwa wanadhalilisha wanafunzi hasa hasa wale vijana wanaoendaga rotation

Ila sasa cha ajabu kesi anapewa mwanafunzi.

Lecturer anaita wanafunzi wachawi 😀

Hapo bado hujakutana na balaa la walinzi😆

Balaa la IT muweka matokeo kwenye SR

Balaa la mwasibu

Balaa la mtihani 😆 lecturer anatoa mtihani wa marekani mtandaoni anaupachika nembo ya UDOM hiyo ndio CAT maswqli 150 muda ni masaa matatu mbaya zaidi swali moja linajaa robo ya karatasi 😆

UDOM kila mtumishi anakiburi mpaka kunguni za pale zina kiburi
Mzee ulikuwa koleji gani....

Imagine hadi hawa madereva bajaji wa UMOTSU nao wanatuleta jeuri ikifika usiku around saa mbili wanapandisha bei za bajaji na kuna wanafunzi wajinga wanalipa imagine kutoka COED mpka CIVE wanatangaza nauli buku badala ya jero as nauli rasmi... remind hapo bajaji inabeba abiria watano (wanaita kufosi) mbele wanakuwa abiria wawili na derava jumla watano wasomi wa chuo wala hawajali hilo.

Jana usiku bado kidogo nishuke na dereva bajaji kwa huo ujinga wao.
 
Back
Top Bottom