Mkuu chuo kimejengwa na Mchina,unategemea nini sasa! Majengo ya ofisi za wakufunzi hayana maji kule vyooni. Mabwenini maji ya shida vyooni! Kiujumla mkwere aliingizwa choo cha kike kwa kuzindua jengo la utawala tu ambalo lina ofisi executive za wakulu utafikiri ofisi za mabilionea!
Ahaha aaaaaaaaaaa.....watoto wa mama wanataka nyonyo!!!!
Hao hawawezi mgomo, waje daruso huku kujifunza migomo ya ki solidarity ndo warudi dom siyo wanakalia kusifia wezi tuu.
Ni haki yao kuwa na field.
Nyie mnaowaponda hawa madogo mna ajenda gani? Toeni mawazo ya kujenga na sio habari za kuwablame.
Kumbukeni wanafunzi hao hao mnaowashutumu inawezekana ndio watakaosafisha njia ya mafanikio kwa vizazi vyenu vijavyo.
Inanipain sana.
Ni haki yao kuwa na field.
Nyie mnaowaponda hawa madogo mna ajenda gani? Toeni mawazo ya kujenga na sio habari za kuwablame.
Kumbukeni wanafunzi hao hao mnaowashutumu inawezekana ndio watakaosafisha njia ya mafanikio kwa vizazi vyenu vijavyo.
Inanipain sana.
waandike tena barua kwenye vyombo vya habari.
Pensheni ya mkataba wa miaka minne hata mimi naweza kumlipa!Hivi amestaafu? Kama ndivyo namkaribisha kwenye kipensheni uchwara cha watumishi wa Umma.....
Masikini Mzee mwenzangu, kutoka ukurugenzi mpaka kufukuzwa !
Halafu hakujiandaa, alitoa machozi......aibu TIDO, Aibu!
tunajua ni haki yao na tunawaunga mkono kwa mgomo wao tatizo walikuwa wanashabikia mtu ambaye hawamjui! mbinafsi na yeye anapenda sana misifa si juzi wamempa u DR leo wanamgomea. wanaigomea serikali yao na chuo kilichosifiwa kwa mbwembwe kuwa ni safi!Ni haki yao kuwa na field.
Nyie mnaowaponda hawa madogo mna ajenda gani? Toeni mawazo ya kujenga na sio habari za kuwablame.
Kumbukeni wanafunzi hao hao mnaowashutumu inawezekana ndio watakaosafisha njia ya mafanikio kwa vizazi vyenu vijavyo.
Inanipain sana.
Ni haki yao kuwa na field.
Nyie mnaowaponda hawa madogo mna ajenda gani? Toeni mawazo ya kujenga na sio habari za kuwablame.
Kumbukeni wanafunzi hao hao mnaowashutumu inawezekana ndio watakaosafisha njia ya mafanikio kwa vizazi vyenu vijavyo.
Inanipain sana.
Mkuu umenikosha hapo kwenye red, jamaa wawaite viongozi wa CCM waje kuwasaidia, tehe tehe tehe FFU nendeni mkatembeze kichapo kikali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hawana nidhamu hawa...Hawana lolote wazembe wa kufikiri hawa,walitoa wapi fedha za kumchangia kikwete?si wangechaka kuboresha miundo mbinu?
Naomba FFU wawape kichapo cha mbwa mwizi ili akili zikae sawa.
"Udom chuo cha kata
wanafunzi kutoka shule za kata
wanalia ukata
huku ccm waitaka
Nakata katakata wazalendo kuwapata toka hiki chuo tata"
Wanafunzi wa Kile chuo kikuu kinachojulikana kwa wengi kama chuo cha CCM, UDOM wameanzisha mgomo tangu jana usiku na kuendelea asubuhi hii. Mgomo huo ambao hasa unafanyika katika chuo cha sayansi za jamii (social science) una madai makuu mawili moja likiwa ni madai ya kufanya mafunzo kwa vitendo na la pili ni kudai miundombinu bora. Taarifa zaidi zinadai kua wanafunzi wa social science wamekua wakibaguliwa linapokuja suala la mafunzo kwa vitendo. Kuna wanafunzi wa social science ambao sasa wako mwaka wa mwisho lakini hawajawahi kufanya mafunzo kwa vitendo na hivyo wanahoji kua ni chuo gani kikuu ambacho hakina mafunzo kwa vitendo.?? Mtoa taarifa anasema wanafunzi wameanza kuamshwa sa kumi alfajiri kwa viboko ili kuungana na wenzao na wanajipanga kuandamana kwenda ofisini kwa waziri mkuu....WAKATI HUOHUO MABOMU YAMEANZA KURINDIMA KUTOKA KWA FFU.,.kumbe na chuo cha CCM WANAGOMA..
Hao si ndo walijifanya wanatoa tamko la kulaani wabunge wa CHADEMA kutoka nje ya Bunge? Walidai kua CHADEMA wametumia njia haramu kudai Haki zao? Kwa hiyo wao hiyo njia ndo halali ya kudai haki zao? tena wakajiita wasomi wa Dodoma watoa Tamko. Na walitaka CHADEMA watumie njia kama wanazozitumia wao? Hao ni Wajinga Kabisa tafadhari FFU vunjeni kabisa mbavu na hayo mabichwa myazibue kwa virungu kabisa