UDOM: MGOMO wa wanafunzi warindima

 
Ahaha aaaaaaaaaaa.....watoto wa mama wanataka nyonyo!!!!

Hao hawawezi mgomo, waje daruso huku kujifunza migomo ya ki solidarity ndo warudi dom siyo wanakalia kusifia wezi tuu.

mh! Daruso hii au ile?
 
Hao si ndo walijifanya wanatoa tamko la kulaani wabunge wa CHADEMA kutoka nje ya Bunge? Walidai kua CHADEMA wametumia njia haramu kudai Haki zao? Kwa hiyo wao hiyo njia ndo halali ya kudai haki zao? tena wakajiita wasomi wa Dodoma watoa Tamko. Na walitaka CHADEMA watumie njia kama wanazozitumia wao? Hao ni Wajinga Kabisa tafadhari FFU vunjeni kabisa mbavu na hayo mabichwa myazibue kwa virungu kabisa
 

Hawa kwa upeo wao ulivyo na tunavyo uona wataua vizazi vyetu vijavyo hawafai kabisa
 

uwezo wa hawa watoto wa kufikiri ni mdogo sana .walidanganywa na ridhiwani wakaichangia ccm sasa wacha waonje joto ya jiwe ili tukiwaambia ccm ni zimwi lisilokujua watambue.mdogo wangu yupo hapo lakini nawaambia hao ffu watembeze kichapo akiumia atanipigia cm nitakuja kumtibia.ili siku nyingine apate akili.
 
Serikali ya ccm sijui inatengeneza taifa la namna gani? kwanini inakuwa ni vigumu kutoa elimu inayoeleweka? usanii katika elimu ni bomu la kitaifa linalokuja kulipuka siku za usoni..UDOM mlipoambiwa ccm wanawatumieni hamkuelewa sasa je, wapo hapo mnapokula virungu na mabomu ya machozi? Siku nyingine tumieni vichwa kufikiri msiendekeze njaa..
 
Hivi hao si wale waliomchangia JK ili achukuel form !!!! Wangelijua hilo wangechangia uchimbaji visima vya maji hapo chuoni...... Nilishasema hao vijana wanamchangia JK/CCM for what for ?? just in this poor country !! Kweli hiki ni Chuo Cha KATA !!!
 
Hili ndo tatizo la siasa uchwara, wame2miwa kama bulldozer kuchonga barabara then barabara imepona hawaruhucw tena kupita ndo wakome
 
Hawa si ndio walikuwa wanakata viuno mbele ya Muungwana na mifulana yao ya njano na kijani, sasa kimewasibu kipi, wafumilie tu hiyo ndio CCM walioipigia kura kwa wingi sasa inakula wanagoma pambafu zao!
 
Hivi amestaafu? Kama ndivyo namkaribisha kwenye kipensheni uchwara cha watumishi wa Umma.....
Masikini Mzee mwenzangu, kutoka ukurugenzi mpaka kufukuzwa !
Halafu hakujiandaa, alitoa machozi......aibu TIDO, Aibu!
Pensheni ya mkataba wa miaka minne hata mimi naweza kumlipa!
 
tunajua ni haki yao na tunawaunga mkono kwa mgomo wao tatizo walikuwa wanashabikia mtu ambaye hawamjui! mbinafsi na yeye anapenda sana misifa si juzi wamempa u DR leo wanamgomea. wanaigomea serikali yao na chuo kilichosifiwa kwa mbwembwe kuwa ni safi!
 

tunawashutumu kwa sababu kwa mda mrefu wamekuwa wakivaa kofia ya usomi na kuisupport CCM hata katika mambo ya kijinga,mara nyingi misimamo yao haiendani na jamii ya wasomi,nadhani walikuwa wanatumiwa sasa uchaguzi umeisha wametoswa.wao kama wasomi wasingejitokeza hadharani kuwahadaa watz(mfano kumchangia kikwete,mara maandamano ya kukipongeza chama n.k.) walitakiwa kuwaelimisha wananchi mapungufu ya serikali ili wakati wa kupiga kura wananchi wafanye maamuzi sahihi.lazima waombe ushauri kutoka kwa chuo kaka UDSM na sio kuwa maadui"ukubwa dawa"
UDOM ni chuo maalum kwa waliokosa UDSM-ukweli unaoumiza.
HUSNINYO acha hawa vijana wapewe adhabu ili akili ziwe sawa ukizingatia hawajapita JKT au hata adhabu za kufyeka ktk st.goverment schools.
Go FFU GO ONDOA ULEGEVU.
 
Mkuu umenikosha hapo kwenye red, jamaa wawaite viongozi wa CCM waje kuwasaidia, tehe tehe tehe FFU nendeni mkatembeze kichapo kikali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hawana nidhamu hawa...
 
mtajuuta kumpa kikwe phd badala ya kumpa dr.slaa
mmesoma lkn hamjaelimika na kujua watu gani wa kuwapa tuzo. mtamsoma tu kikwete na ningekuwa mm ndo kikwete na nina watu wajinga km udom ambao wananikubali leo na kunipa tuzo afu baadae wanapaka matope serikali yangu kwa migomo,ningeamuru polisi wawacharaze viboko na marungu na mabomu ya machozi.
 

WAPIGWE vIZURI NYAMBAF HAWA SI WALIJIFANYA WAO NDIO CCM CHIPUKIZI SASA CCM INAWAONYESHA MAMBO YALIVYO
 
UDOM walikubali/wanakubalika kutumika kama daraja la CCM, hivyo wasishangae yanayotokea, kwani huu ni mwanzo kwa jinsi ilivyo serikali ya JK watatamani wamnyang'anye ile tuzo ya kisiasa na kujipendekeza kwake waliyompa hivi majuzi. Wacha watiwe adabu ili siku nyingine wasikie ya wakubwa. Maana hadi leo bado hawajatambua kuwa Serikali ndio adui mkubwa wa elimu ya juu.

Nawaomba wale "wanafunzi wasomi wa vyuo mbalimbali huko dom" watoe kauli yao kama ile ya kipind kile cha walk out.....
 

.....amazing amazing! Yes hawa ndio wasomi wetu walioimba nyimbo zote za mapambio kumtukuza JK and yes wakalaani vikali kwa tamko kitendo cha CDM kumsusia JK!

Nakumbuka tena wakati wenzao wa vyuo vya SUA mwanzoni mwa mwaka huu wakigoma kuhusu matatizo yanayowakumba....hao wasomi wetu badala ya kuwaunga mkono wenzao....wao wakawakebehi na kumchangia JK fedha za kuchukua fedha.....riduculous! wapewe virungu hao waleta fujo......!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…