soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Inasikitisha sana kwa jinsi ambavyo polisi walivyotuliza ghasia kupiga mabomu saa moja hadi tano asubuhi. Pia naushangaa ungozi wa chuo hasa utawala kushindwa kutafuta njia ya amani kutuliza mgomo, huwa wanakurupuka kuita polisi ktk mazingira ya chuo hata pasipo stahili.
Naiomba ofisi ya mipango, fedha na utawala, Udom waombe wapewe semina toka chuo kikuu cha Udsm jinsi ya ku handle migomo, wamtafute Prof. Mkandala na Mgaya watawapa shule ya kutosha kuondoa ujinga walio nao jinsi kutatua kero za wanafunzi. Pia wajifunze toka kwao jinsi migomo inavyotokea udsm hata wk nzima pasipo kuingiliwa hata na Auxiliary police! Sembuse wao mgomo kidogo tu msururu wa FFU na mabomu na upupu wao wa maji.
TCU nao wanashangaza kuidhinisha kozi za elimu ya juu zisizo na field work. Uhalali na ubora wa mhitimu wa namna hii ya Udom uko wapi? "This is just a new version of Advanced level sec. education"!
Pia ningependa kumuuliza Prof. Idris Kikula kulikoni? Kwa ujumla uongozi wake kama mkuu UCLAS na mkurugenzi IRA Udsm ulikuwa umetutuka. Alikuwa mtu msikivu, mwadilifu na mchapakazi. Iweje kwa uzoefu alionao haya yote yatokee Udom? Wanafunzi wanalia kero, na walimu nao ndo usiseme! Nahisi kuna nguli au kiwavi 1 kaingilia utawala wa chuo cha dodoma!
Mkapa ka chancelor, Bilali ka mwenyekiti wa bodi na JK ka mkuu wa mradi wa Udom chunguzeni ni wapi penye mushikeli na hima mparekebishe.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, ITAKASE NA UFISADI KTK KILA NYANJA!
Naiomba ofisi ya mipango, fedha na utawala, Udom waombe wapewe semina toka chuo kikuu cha Udsm jinsi ya ku handle migomo, wamtafute Prof. Mkandala na Mgaya watawapa shule ya kutosha kuondoa ujinga walio nao jinsi kutatua kero za wanafunzi. Pia wajifunze toka kwao jinsi migomo inavyotokea udsm hata wk nzima pasipo kuingiliwa hata na Auxiliary police! Sembuse wao mgomo kidogo tu msururu wa FFU na mabomu na upupu wao wa maji.
TCU nao wanashangaza kuidhinisha kozi za elimu ya juu zisizo na field work. Uhalali na ubora wa mhitimu wa namna hii ya Udom uko wapi? "This is just a new version of Advanced level sec. education"!
Pia ningependa kumuuliza Prof. Idris Kikula kulikoni? Kwa ujumla uongozi wake kama mkuu UCLAS na mkurugenzi IRA Udsm ulikuwa umetutuka. Alikuwa mtu msikivu, mwadilifu na mchapakazi. Iweje kwa uzoefu alionao haya yote yatokee Udom? Wanafunzi wanalia kero, na walimu nao ndo usiseme! Nahisi kuna nguli au kiwavi 1 kaingilia utawala wa chuo cha dodoma!
Mkapa ka chancelor, Bilali ka mwenyekiti wa bodi na JK ka mkuu wa mradi wa Udom chunguzeni ni wapi penye mushikeli na hima mparekebishe.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, ITAKASE NA UFISADI KTK KILA NYANJA!