UDOM mnatutesa watoto wa wakulima

UDOM mnatutesa watoto wa wakulima

nassib54

Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
21
Reaction score
14
hii n kwa wale wanafunzi wote ambao majina yao yakusaini boom hayakutoka..inapita wiki tatu uongozi wa chuo na wanafunzi umelifumbia macho tatizo letu kila tukifuatilia ni majibu ya ubabaishaji...tumechoka kuzungushwa na mnajua maisha yalivokua magum UDOSO na uongoz wa chuo tunaomba muwajibike katika hili tunateseka wenzenu ni muda mref sasa mlituahidi karatasi za kusaini mpaka leo kmya
 
Mnazingua nyie wanafunzi mnakumbuka mlitoa tamko gani nyie wanafunzi wa UDOM kuhusu swala la ESCROW? hayo ndo malipo ya mnafiki
 
mgumu04 usiwahukum hawa vjana kwa hlo,kiukwel msaana unahitajika kwa hawa madogo wanasota sn,serikali ya wanafunzi udom mko wap jaman?
 
Nina imani kabisa si wote walipata hata nafasi ya kusikilizwa mawazo yao juu ya escrow. Ni upumbavu wa viongozi wachache wlaionunuliwa na watawala na kwa unafiki wakajipendekeza kwa kuwatumia wanachuo wote. Laana ya Escrwo iwafuate wale wale wanye hila.

Ninapenda kutoa wito tu kwamba, suala lamaisha ya watoto wakiwa chuoni si la mzaha. Hawana baba wala mama, hawana kazi ndiyohivyo wanasoma. Mkiwanyima ama kuwacheleweshea hela wanaishije hawa watoto? Wanakula wapi? Uhai wao ukiwa hatarini wanasomaje?

Uongozi wa wanafunzi na uongozi wa chuo liangalieni hili suala haraka. Acheni kucheza na maisha ya watoto wetu!.

Mnazingua nyie wanafunzi mnakumbuka mlitoa tamko gani nyie wanafunzi wa UDOM kuhusu swala la ESCROW? hayo ndo malipo ya mnafiki
 
Mnazingua nyie wanafunzi mnakumbuka mlitoa tamko gani nyie wanafunzi wa UDOM kuhusu swala la ESCROW? hayo ndo malipo ya mnafiki

Mkuu hawa watoto ungejua ni under 18...na wanavyoteseka ungeomba upigwe ban na mods
 
poleni sana madogo!nchi yetu imejaa siasa,ufisadi naunyama wahali yajuu kwawatu watabaka lachini!naijua njaa yachuo ilivyokali wakati huu!enzi zetu hapo tulikua tunakiwasha nakabeho wetu mbele mbaka kinaeleweka!hao udosoccm mlionao sasa hawana Msaada kwenu jaribuni kustraich ubongo wenu kwa alternatives nyingine kabla hamjaanza kuzimia lecture rooms!poleni wanaudom.
 
Mnazingua nyie wanafunzi mnakumbuka mlitoa tamko gani nyie wanafunzi wa UDOM kuhusu swala la ESCROW? hayo ndo malipo ya mnafiki

ieleweke c wanafunz wote wa UDOM ndo walitoa huo walaka kwa Rais ila ni wapuuzi wachache wenye itikadi ya CCM, wengine ni wapinga CCM na hatuwez kubaliana na ujinga kama huo, wana low intellectual capability.
 
mgumu04 usiwahukum hawa vjana kwa hlo,kiukwel msaana unahitajika kwa hawa madogo wanasota sn,serikali ya wanafunzi udom mko wap jaman?

Serikali ya Wanafunzi UDOM ni tawi lingine la ESCROW na mgao wamekula.

Ni makada watupu..
Saa ngap watakumbuka watoto wa maskini.
 
pesa mtapata ila mwezi wa 2 mwanzoni maana bodi awakujua kama stashahada maaluma wanastaili mikopo muwe wavumilivu
 
Back
Top Bottom