ndechilio shoo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 997
- 365
Tuweke wazi kwamba fitna na Majungu sasa basi hivi kwa nini,mnakuwa na chuki na wivu wa kike, Juu ya UDOM bila kuwa na Ushaidi kamili? Kama unajua umekuja kufanya usahili Udom umekosa nafasi hasa kwa wale wanaotafuta ajira Acha wivu wa kike kwani huna sifa wenzio wamepata,pili kuna kundi kubwa ambalo walifukuzwa chuo mwaka 2010 na wengine 2011 kwa sababu ya Mgomo hasa coz ya Uhusiano wa kimataifa(1R)tatu hili ni kundi ambalo wamekosa vigezo vya kusoma udom tukumbuke kwamba kusoma vyuo vya serikari lazima uwe na division 1 au 11,mfano me nina one ya 7 nimemaliza PUBLIC ADMINISTRATION kwa waliopata nafasi kwa division 111 hii ni kwa sababu chuo cha UDOM bado kinahitaji watu na kila kukicha idadi inapungua kwa sababu ya watu kukosa vigezo stahiki,Ikumbukwe kuwa hazima na lengo ya serikari kuanzisha chuo hichi ni baada ya kuona kulemewa kwenye sector ya Elimu,pili ni kuhakikisha kwamba kila Mtanzania mwenye sifa anapata nafasi kusoma kama nchi nyingine,Nakupenda UDOM