Udom imejengwa na wifuko ya penshen. NSSF wamejenga college of humanities and social sciences, PPF wamejenga imformatics, pspf wamejenga education na LAPF wanajenga health sciences. Bill ametoa msaada wa komputa na wataalamu.
Asante baba tina sasa vipi kuhusu malipo mfuku gani unahusika?
Wamejenga magaidi wa Iran
Wazee wenye data wamwage hapa!
What are the funding sources to esblish UDOM? Serikali % ngapi? Wafadili wengine % ngapi? NSSF & PPF % ngapi?
kugoma kwa wahadiri UDOM, kwasababu ya maslahi wanatudhihirishia kuwa chuo hicho kilijengwa kwa msaada wa matajiri walioko nje ya nchi kama kina bilgates, haiwezekani serikali ijenge chuo kikubwa na kizuri kiasi hiki halafu kishindwe kuwalipa staff wake hela za kujikimu tena mbaya zaid wengine hawajalipiwa tangu waanze, sitaki kuamini kama ccm ndio imejenga UDOM maana CCM mpaka Neti wanapewa msaada na mrekani, nawasilisha
kugoma kwa wahadiri UDOM, kwasababu ya maslahi wanatudhihirishia kuwa chuo hicho kilijengwa kwa msaada wa matajiri walioko nje ya nchi kama kina bilgates, haiwezekani serikali ijenge chuo kikubwa na kizuri kiasi hiki halafu kishindwe kuwalipa staff wake hela za kujikimu tena mbaya zaid wengine hawajalipiwa tangu waanze, sitaki kuamini kama ccm ndio imejenga UDOM maana CCM mpaka Neti wanapewa msaada na mrekani, nawasilisha
kugoma kwa wahadiri UDOM, kwasababu ya maslahi wanatudhihirishia kuwa chuo hicho kilijengwa kwa msaada wa matajiri walioko nje ya nchi kama kina bilgates, haiwezekani serikali ijenge chuo kikubwa na kizuri kiasi hiki halafu kishindwe kuwalipa staff wake hela za kujikimu tena mbaya zaid wengine hawajalipiwa tangu waanze, sitaki kuamini kama ccm ndio imejenga UDOM maana CCM mpaka Neti wanapewa msaada na mrekani, nawasilisha