Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 347
WanaUDOMASA msishangae Prof Kikula kutoa propaganda kwenye vyombo vya habari. Hiyo ndiyo fani yake nyingine kwani yeye ni mfanyakazi wa TISS. Mdogo wake naye yuko TISS. Anaitwa Magid Kikula na ndye aliyeshiriki kwa karibu sana kuchakachua matokeo ya uchaguzi uliopita.