Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

Senzoside,hawa akina OKW BOMAN SUNZU waliomba wakakosa,walishachukia jumla,wataendelea kuichek udom kwenye net.LOVE UDOM
Unavyosema inaweza kuwa kweli
mm nawashangaa sana mm huku nilipo ni watu wanaona mchango wangu na yote hii ni kwasababu ya elimu niliyoipata UDOM
 
Yes hawa ndio wasomi wetu kuna kitu hujakielewa tukueleweshe sisi wasomi? Poor girl, you are so delusional. Unafikiri kuna siku utapigiwa filimbi kuwa ni msomi. Msomi anaweza kuwa hata darasa la saba kama atatumia akili yake kutatua matatizo yanayomkabili yeye na jamii inayomzunguka. Kama umesoma halafu huwezi kutatua matatizo yako na jamii yako huna tofauti na i-d-i-o-t, ndio maana wanaojua msomi ni nani waliamua kuwapa degree watu walioumiza kichwa kutatua matatizo katika jamii bila kwenda shule.

and FYI degree za heshima zinaheshimika kuliko za darasani. we ulitaka tumalize chuo kwanza ndio tuanze kufikiria kutatua matatizo ya UDOM, poor girl.

Wewe ni mbwiguke kweliyani! Msomi gani ambaye hata hujui kusoma Username hapa Jf? Nakudharau tu ni walewale watu wa majungu na fitina sehemu za kazi ambao mmeumbwa mkiwa na imani kuwa mnatakiwa kuongoza tu na sio kuwa mtenda kazi chini ya mtu mahali pa kazi. Sikujibu tena maana siwezi argue na kikundi cha watu wazembe kazini wenye jukum la kufitinisha watu! Eti Senior! Tukutane kikaoni uanzishe tena majungu yako!
 
Unavyosema inaweza kuwa kweli
mm nawashangaa sana mm huku nilipo ni watu wanaona mchango wangu na yote hii ni kwasababu ya elimu niliyoipata UDOM

Kuna wapuuzi flani hapa kwao kuwepo kazini ni kutafuta kupika hadithi za uongo na majungu tu! Baada ya kuaandaa nini atadeliver kesho wao ni fitina tu!
 
Kuna wapuuzi flani hapa kwao kuwepo kazini ni kutafuta kupika hadithi za uongo na majungu tu! Baada ya kuaandaa nini atadeliver kesho wao ni fitina tu!

Unajua ndo maana watu wanakufa maskini badala ya kuchapa kazi wanafikiria kuwa watapikaje majungu
 
UDOM ina miak 7 tang ianze, so bado ni mtot anaetambaa, so kwa nn usrud kwa wazee kam UDSM, SUA , MZUMBE n.k? Hat hvyo ambao 2po UDOM 2najua jins 2navyosota na kozi work. Pia hat kam zmepelea 2 au 1 kutimiza koz woki malecturers wengn hawaongez kbs na mwshon wa2 hubeb kozi kam utan!
Labd nitajie LECTURER yyte na kozi yoyte iliyokumbw na jamb kam hlo!
Maan pengn nyi ndo mpo kw ajil ya kupak tope wenzen either tu huna hcho ktu or hupend.
But pole san wal ckushangai coz pengn ushackia kwa wanafiki kam wew na wew ukapiga MSULI kukakir hlo.
NPO UDOM PIA NAIPEND XAN COZ NAON KAM NI MTI WENYE MATUNDA KWANG, so nyi upgen mawe had mchoke.
 
UDOM mti wenye matunda,watapiga mawe mpaka yataisha na mda c mref watakir kuwa ni chuo bora,ni wiv tu hamna jingine
 
Unajidai unaumiaaaaaa...huna lolote.......kisa waislam kupewa darasa kusomea...kwngine tunasoma wakristo wanapewa madarasa hatusemi...kunya anye kuku tuu akinya bata uchafu...usijishaue hapa c ajabu mtu mwnywe ndo mpenda kuongezewa cozwork hapooo....uyoooooooo kafe mbele....lakufanya ndo huna
 
Athurmorgan,changia kisomi,ondoa hisia za udin,ni wap ambapo wakristo hupewa sehem ya kusalia,na nyie mnanyimwa &hamsemi
 
Hvi We Unaoiponda Udom,mbona Njia Ni Ndogo 2,we Kaa Kimya Usijipe Mzigo Usiokuhusu Kwan Hata Uongee Cna Haitakusaidia Na Utaendelea Kua Kinyago Na Kija Mavi Bure. Halaf Naona Nachelewa Kukutukana Bure.
 
Back
Top Bottom