Yes hawa ndio wasomi wetu kuna kitu hujakielewa tukueleweshe sisi wasomi? Poor girl, you are so delusional. Unafikiri kuna siku utapigiwa filimbi kuwa ni msomi. Msomi anaweza kuwa hata darasa la saba kama atatumia akili yake kutatua matatizo yanayomkabili yeye na jamii inayomzunguka. Kama umesoma halafu huwezi kutatua matatizo yako na jamii yako huna tofauti na i-d-i-o-t, ndio maana wanaojua msomi ni nani waliamua kuwapa degree watu walioumiza kichwa kutatua matatizo katika jamii bila kwenda shule.
and FYI degree za heshima zinaheshimika kuliko za darasani. we ulitaka tumalize chuo kwanza ndio tuanze kufikiria kutatua matatizo ya UDOM, poor girl.